REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,246
- 11,459
Kama umewahi kuishi na askari polisi jirani au umekuwa na ukaribu naye utaelewa hiki nachokisema
Kama una duka akija dukani kwako anataka bidhaa anayotaka apewe bure
Uko bar sasa ndio balaa wanaomba bia hao mpaka kero
Kwenye mabanda ya chipsi ukimuona tu askari unabadili njia maana ukimkuta kagiza chips kavu akikuona tu atataka umnunulie soda, au abadili chips isiwe kavu iwe yai
Jamani mnatuboa ebu ambianeni uko punguzeni kuomba omba mmekuwa kero kwetu raia maisha magumu kwa wote siyo nyie tu
Kama una duka akija dukani kwako anataka bidhaa anayotaka apewe bure
Uko bar sasa ndio balaa wanaomba bia hao mpaka kero
Kwenye mabanda ya chipsi ukimuona tu askari unabadili njia maana ukimkuta kagiza chips kavu akikuona tu atataka umnunulie soda, au abadili chips isiwe kavu iwe yai
Jamani mnatuboa ebu ambianeni uko punguzeni kuomba omba mmekuwa kero kwetu raia maisha magumu kwa wote siyo nyie tu