Israel ni Taifa teule la Mungu kwenye Biblia tumeambiwa ukiwabariki utabarikiwa ukiwalaani utalaaniwa? Kwenye hili namuunga Mkono raisi wetu. Tumefaidika nini na wapalestina hadi Leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
eddy, Acha kusema uongo tuulize tuliopo kigoma mama Ndalichako amejiwekeza jimbo la Kasulu Mjini na watu wote kigoma wanajua ndio mgombea wa jimbo hilo. Kuhusu KIGOMA mjini walimuomba akagombee huko sababu alisomea huko na kuishi huko katika makuzi yake. Kasulu alikuwa hana nyumba lakini kajenga...
Haki huinua Taifa Bali dhambi ni aibu kwa watu wote,uovu ukitamalaki Mungu husimama mwenyewe, kwa hapa tulipofika hakuna mwanadamu awezaye kuitafuta haki ya MTU huyu Bali tunamuomba Mungu asimame mwenyewe kumtetea juu ya wabaya wake wanaotafuta kumuangamiza kwa namna yeyote, Mfalme Daudi...
Hilo jengo la ccm mkoa na uwanja wa Namfua wazee wetu Singida waliuziwa ng'ombe na mifugo kwa lazima ili majengo hayo yakamilike lakini wajanja wakazila hakuna aliechukuliwa hatua mpaka Leo. Mo wakati anataka ubunge aliahidi kulimalizia na kuweka nyasi za bandia kwenye uwanja wa namfua lakini...
Nchi nyingi wanaruhusu kusafiri usiku hata Kenya, sasa utaogopa ajali mpaka lini mbona mchana zinatokea huo ni ufinyu wa mawazo faida za kusafiri usiku ni kwamba watu wengi wanapoteza muda barabarani badala ya kuwahi kufanya shughuli za maendeleo cha msingi madereva wawe wawili ili wapokezane...
Hao Tari jukumu lao kubwa ni kufanya utafiti na bado wakulima wanachangamoto kubwa ya Mbegu bora za Alizeti. Hata hiyo Mbegu ya record ni ya miaka mingi na uzalishaji wake sasa ni mdogo ukilinganishwa na Mbegu mpya zinazokuja kutoka nje ya nchi. Kwanini shughuli za uzalishaji wa Mbegu...
Kingine ambacho hamjui wengi Singida kuna madini mengi sana pengine yaweza kuwa kuliko Shinyanga, ule mwambao wa sekenke hadi misigiri ni dhahabu tupu kale kamji ka Misigiri kanaendeshwa na dhahabu. Singida hakuna wilaya wasio chimba dhahabu. Shelui na baadhi ya sehemu za ndago walikuwa wanalima...
Ha ha ha naona umecopy na kupest Ujumbe alioandika mtu mwingine jana Facebook tanuru la fikra halafu unajidai ni wewe umeandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnabishana wote wapita njia wenyeji acha tuseme, ni kweli Kitila kaandaliwa kwa hilo jimbo hata Mwigulu analijua ndio maana kawa mpole ni kiasi cha muda tu utasikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hujui maumivu aliopata TL kupigwa risasi na hujui waliopanga kumuua bado wana njama gani na yeye kumbuka hakuna hata mmoja aliekamatwa kuhojiwa wala kifunguliwa mashitaka. Kifo kinauma muache atoe hasira yake kuuleza ulimwengu nini kilimtokea na ili ikitokea kashambuliwa tena dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.