Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Halo JF siasa.
Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.
Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.
Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.
Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?
Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?
Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.
Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.
Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.
Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?
Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?