Jengo hili refu la ghorofa CCM wameshindwa kumaliza liwe kitega uchumi?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,469
Halo JF siasa.

Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.

Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.

Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.

Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?

Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?
 
Ngoja tutengeneze "uhaba feki" wa sukari au mafuta ya kupikia,kampuni ya chama iagize,hizo hela tumalizie majengo yetu, yapo mengine kama Ali Hassan Mwinyi Stadium,Tabora, Kagera pia kuna jengo halijaisha
 
Unajua tofauti ya majukumu ya Mbunge na wadhamini wa mali ya chama katika ngazi za wilaya au Mkoa? Unajua mipaka ya jimbo na ya Wilaya au Mkoa kutegemea na kitegauchumi kimewekwa ngazi gani? Ukipata majibu ya maswali haya unaweza kuja na swali mujarabu. Hata hivyo nakubaliana na wewe kuwa jengo lile lingebadili sana mandari ya mji ule. Hata Dodoma kulikuwa na jengo kama like la Pasta limetelekezwa miaka mingi sana, karibu na Dodoma Hotel, hivi sasa baada ya Serikali kuhamia Dodoma limekumbukwa na kumaliziwa. Hivyo inawezekana ni suala la mahitaji ndio limepelekea yote haya.
 
Unajua tofauti ya majukumu ya Mbunge na wadhamini wa mali ya chama katika ngazi za wilaya au Mkoa? Unajua mipaka ya jimbo na ya Wilaya au Mkoa kutegemea na kitegauchumi kimewekwa ngazi gani? Ukipata majibu ya maswali haya unaweza kuja na swali mujarabu. Hata hivyo nakubaliana na wewe kuwa jengo lile lingebadili sana mandari ya mji ule. Hata Dodoma kulikuwa na jengo kama like la Pasta limetelekezwa miaka mingi sana, karibu na Dodoma Hotel, hivi sasa baada ya Serikali kuhamia Dodoma limekumbukwa na kumaliziwa. Hivyo inawezekana ni suala la mahitaji ndio limepelekea yote haya.
Wakimalizia watapiga sana hela kwenye ukodishaji vyumba.
 
Halo JF siasa.

Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?

Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?

.hoja dhaifu sana... watanzania sijui mkoje. Yaani unachowaza ni mbunge kufurahisha chama chake tu.
Hata huo uwanja wa namfua, nadhani ndiyo uwanja mbaya kuliko viwanja vyote Tanzania vilivyopo katika miji mikuu ya mikoa, ukiondoa mikoa mipya.
 
Wanasubiri chama cha kikomunist cha China kije kuwasaidia kumalizia
Halo JF siasa.

Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.

Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.

Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.

Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?

Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?
 
Hilo jengo la ccm mkoa na uwanja wa Namfua wazee wetu Singida waliuziwa ng'ombe na mifugo kwa lazima ili majengo hayo yakamilike lakini wajanja wakazila hakuna aliechukuliwa hatua mpaka Leo. Mo wakati anataka ubunge aliahidi kulimalizia na kuweka nyasi za bandia kwenye uwanja wa namfua lakini mpaka Leo hakuna kilichofanyika. Nakumbuka wakati wa Ujenzi wa jengo hilo miaka ya themanini na kitu viongozi Mkuu wa mkoa alikuwa Meja General Marwa, Mwenyekiti ccm T.Kingu KATIBU ccm akiwa brigadier Mwakanjuki. Ila sio kweli kama ndio jengo refu kwasasa kwani mbele yake kuna hotel inajengwa inaghorofa 6 ukienda kule juu opposite na Stanley Motel utakuta jengo la ghorofa 5 wakati hilo la ccm ni ghorofa 4 tu.
Halo JF siasa.

Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.

Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.

Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.

Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?

Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?
 
Hata Bukoba kuna jengo Lao Lina ghorofa tano wameshindwa kulimaliza.

Hawa CCM wanapoteza hela Sana aisee
images%20(39).jpeg
images%20(40).jpeg
 
Nani mwenye ripoti za MALI ZA CHAMA???? pamoja na hujuma zilizokuwa zikifanyika?????

Msidhani Kununua na kubagaiza kwa akina NAPE na KINANA ni bure, tena nasema ni afadhali MALI ZA CHAMA NA WALIOHUJUMU kuchanganyikiwa sasa!!!!

Ni jukumu la CCM MPYA kujiboresha na kurudisha mali kuliko kuendelea kuacha mikononi mwa walafi!!!!

(Kanisa Anglicana nako kuna sakata kama la CCM.... Mali za kanisa kutafunwa na wachache)
 
Halo JF siasa.

Ktk pitapita zangu nimefika Singida mjini. Kuna jengo refu zaidi ya yote hapo mjini lina ghorofa zaidi sita.
Jengo hili naambiwa ni Mali ya CCM na lilianza kujengwa mwanzoni mwa miaka ya 1980's.

Naambiwa lilijengwa pamoja na uwanja wa mpira wa miguu wa Namfua, enzi hizo RC Namfua ndiye mkuu wa mkoa Singida.
Naambiwa wajanja walikula hela sana na jengo halikuisha hadi Leo. Pia uwanja japo sikufika naambiwa haujaisha vizuri.

Hakika jengo hili likiisha litaupendezesha mji wa Singida kwani ndilo refu kuliko zote na linaonekana kwa mbali na kwa jinsi lilivyo linaufanya mji kuonekana choka mbaya.

Wenyeji wanadai Billionaire Mo Dewji hakujiangaisha ktk kipindi chake cha ubunge kushughulikia likamilike. Pia wanahoji je Mwl Mussa Sima ambaye ni mbunge wa sasa na naibu waziri Mazingira na Muungano atalikamilisha ikiwa Mo Dewji alishindwa?

Pia wanahoji Rais Magufuli aliyetelekeza Maabara shule za secondary na kuwa Magofu ataliweza au ataangazia zaidi ndege, Reli, bandari, barabara, vituo vya Afya nk?
Majengo na viwanja vyote vimekuwa vikijengwa kwa fedha za serikali na michango ya wananchi kwa nguvu bila ridhaa yao! Hivi sasa ni ngumu kuwalazimisha watu kuchangia na pia si rahisi sana kuchota fedha za serikali ingawa kwa ujenzi wa uwanja wa Chato imewezekana!
 
.hoja dhaifu sana... watanzania sijui mkoje. Yaani unachowaza ni mbunge kufurahisha chama chake tu.
Hata huo uwanja wa namfua, nadhani ndiyo uwanja mbaya kuliko viwanja vyote Tanzania vilivyopo katika miji mikuu ya mikoa, ukiondoa mikoa mipya.
Jengo likiisha halina mambo ya siasa, uchumi wa kila mtu utainuka kwa namna moja au nyingine hasa wajasiriamali
 
Hilo jengo la ccm mkoa na uwanja wa Namfua wazee wetu Singida waliuziwa ng'ombe na mifugo kwa lazima ili majengo hayo yakamilike lakini wajanja wakazila hakuna aliechukuliwa hatua mpaka Leo. Mo wakati anataka ubunge aliahidi kulimalizia na kuweka nyasi za bandia kwenye uwanja wa namfua lakini mpaka Leo hakuna kilichofanyika. Nakumbuka wakati wa Ujenzi wa jengo hilo miaka ya themanini na kitu viongozi Mkuu wa mkoa alikuwa Meja General Marwa, Mwenyekiti ccm T.Kingu KATIBU ccm akiwa brigadier Mwakanjuki. Ila sio kweli kama ndio jengo refu kwasasa kwani mbele yake kuna hotel inajengwa inaghorofa 6 ukienda kule juu opposite na Stanley Motel utakuta jengo la ghorofa 5 wakati hilo la ccm ni ghorofa 4 tu.
Asante kwa ufafanuzi maana Mimi nilipita tu ule mkoa
 
Back
Top Bottom