Recent content by ENKOKOROMI

  1. E

    Ridhiwani umeshindwa kumuita Mh. Rais Dr. J Magufuli?

    Acha uchochezi wa kijinga wewe, kama wakristo huwa wanamwita Yesu Bwana Yesu unataka kutwambia huwa hawamkubali? acha kuhangaika na vitu vidogo hivyo bhana hah
  2. E

    Wanafunzi wa Stashahda ya ualimu masomo ya Sayansi, Hesabu na Teknolojia UDOM warudishwa nyumbani

    Jamani wanafunzi hawakupelekwa UDOM na UDOM wamepelekwa na serikali kwa ufadhili wa World Bank
  3. E

    Wanafunzi wa Stashahda ya ualimu masomo ya Sayansi, Hesabu na Teknolojia UDOM warudishwa nyumbani

    Kutimuliwa kwa kumanisha kutimuliwa ndio nini sasa wewe Kinda? tofauti ya kufukuzwa na kutimuliwa ndio nini?usitokwe povu mdomoni jibu swali, huwezi kuambiwa useme maana ya kutimuliwa ukasema maana yake ni kutimuliwa kwikwkwiiii
  4. E

    Wanafunzi wa Stashahda ya ualimu masomo ya Sayansi, Hesabu na Teknolojia UDOM warudishwa nyumbani

    I absolutely agree with you mkuu, analytical skills ....very poor indeed. Mtu anakurupuka na kuandika kitu bila tafakari ya kina. Shame!!
  5. E

    Dr. Slaa: Natishwa

    Tumeamua kuhamishia magazeti JF? Ukweli mmoja utabaki tu nunueni magazeti yote ila kwa sasa kutubadilishia focus haiwezekani tena. Adui namba moja wa maendeleo Tanzania sio mtu ni mfumo, na mfumo wenyewe ni CCM tu. Kama kuhama kuacha chama kwa Dr Slaa kutasaidia kuiondoa CCM atakuwa amefanya...
  6. E

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Unaweza usile, usinywe n.k unavyoita eti unafunga, haya hata kuoga usioge.Dr Slaa ameomba apumzike kwa muda, hajatangaza kuacha chama, viongozi bado wapo na kumbuka yeye hakutangazwa mgombea wa chadema, na chama sio mtu mmoja. Kinachokuuma kinajulikana wazi impact ya Dr Slaa kupumzika na sio...
  7. E

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Kinachokuumiza unakijua wala sio Dk. Slaa!unaumizwaje na mtu aliyepumzika?kwani huyu roboti?amekwambia kakihama chama?acha unafiki wako tulia dawa ikuingie
  8. E

    Unafiki wa baadhi ya Maaskofu wa Tanzania

    Kwa nini sasa ccm iwafanye wananchi watoto wadogo kwa kuwambia wapige kura ya NDIYO?
  9. E

    Fujo Baraza la Wakilishi Zanzibar

    Waiopenda kusikia hayo shauri yenu, ndo hali halisi kwa sasa, mzee Kificho katoa macho kama panya kabanwa na mlango!!
  10. E

    Wanasheria, Wanasiasa Wafumbueni Watu Macho Juu Ya Hili Jambo Kuhusu Katiba Mpya!

    Mahanju hii nchi inaharibiwa na watu wanaojiita wasomi, kukaa kwao kimya kwenye mambo ya msingi na kutuachia akina sisi "never seen the black board"ni kuingiza nchi katika machafuko. Mambo wanayajua, wanashiriki kuyaadaa na mambo yanapoenda mrama wanakaa pembeni kimya. Sasa hivi kuna kofia...
Back
Top Bottom