Ni kweli Arusha city(17,978,653,000) imeoneka kuwa na pato kubwa kuliko Mwanza city(13,785,496,776) kwenye ripoti uliyoambatanisha, lakini Mwanza ina manispaa ya Ilemela pia(8,051,895,514) ambayo inajitegemea kimapato hata kwenye hiyo ripoti yako. Hivyo basi ukijumulisha pato la Mwanza Jiji na...