John Lupia yule aliyesimamisha msafara wa Rais Nyerere mwaka 1962 ni baba mzazi wa Poul LuPIA HUYU aliyewahi kuwa katibu mkuu kiongozi Awamu ya pili chini ya rais Mwinyi
Refa kaikaba Yanga kwa kukataa lile bao halali la Ruvu shooting kwani kona au winga akikimbia na kumaliza uwanja na kutoa cross kwa vyovyote vile bao lile ni halali, vile vile ni kwenye kona, ikipigwa kona haiwezi kuwa offside mbona mpigaji yoko kwenye kibendela ? Refa iliikaba Yanga kwa sababu...
Alijua wazi kabisa huwezi kufanya mambo mawili magumu kwa wakati mmoja, akaona aache cheo kikubwa kabisa cha uwaziri mkuu ili kwenda kutimiza adhima yake ya kujiendeleza kielimu huko nchini Yugolavia ya wakati ule.
Wanzetu hawa utaona leo ni waziri na kesho amedoctorate sasa huwa utafiti...
Sababu za waamuzi wa Tanzania kutopewa nafasi hii ya kuchezesha fainali za WORLD CUP ndo sababu hizoz hizo zilimfanya Leodgar Tenga kukosa uwakilishi wa FIFA kanda ya Africa licha ya kupigiwa sana debe na Head of State wa wakati huo Mheshimiwa JK na alimsindikiza hadi mjengoni huko ZURICH nafasi...
Leo katika historia
Rais Nyerere kawafukuza kazi maafisa tisa wa Mamlaka ya Uatawishaji makao makuu(CDA) kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo wizi na ubadhirifu wa mali za mamlaka hiyo, akitangaza taarifa hii kwa niaba ya rais ambaye yuko ziarani nchini China Katibu mkuu kiongozi Bwna Timoth Apiyo...
Nchi wakati wa JPM ilikuwa inaendeshwa kihunihuni tu pamoja na huyo Ndugai wake utenguliwaji wa posi ilikuwa hivi:
Kwa mjibu wa katiba rais ana uwezo wa kuteuwa wabunge wa kuteuliwa 10 tu, kwa bahati mbaya au bila kujua Rais alifanya uteuzi wa mbunge mwingine ikawa wabunge wa kuteuliwa wakawa...
Ile kwenda Malwi ni lazima achanje chanjo ya Covid 99 au achanjiye huku au kulekule vinginevyo Malawi haiingii. akikataa basi aache kazi arudi kwenye uchungaji
Chota Chama ameiuwa Simba, simba wanafuata jina, imewagharimu, Chama kiwango chake kiko chini sana ilifaa kwanza apiganie namba, mbio za ubingwa sasa bye bye kwa mnyama.
Alishabikia kumwondoa CAG kinyume na taratibu na yeye ameondoka kwa utaratibu huo huo.
Ukivunja katiba,katiba hiyo hiyo itazunguka ikuvunje wewe.
Katiba ni sheria mama.
Mheshimiwa SSH ni Rais halali alichaguliwa na wanachi, katika uchaguzi mkuu uliopita jina lake lilikuwepo kwenye karatasi ya kura akiwa ni mgombea pamoja na JPM. ALICHAGULIWA NA KUTANGAZWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.