Vuteni subira kuanzia tarehe moja watatoa. Najua majibu hayatakuwa mazuri kwawengne naomba mvumilie coz maisha co uhamiaji tu maisha kokote. Na nawapa hongera wale Wataoitwa.
agencies zinafaida na hasara yake. Faida yake zinapunguza undugunization kwenye kupata ajira. Hasara yake ukionganishia kazi popote lazima wakukate mshahara wa kila mwenz tena unajikuta unapokea mshahara ndogo sana na unakuwa kama mtumwa wao. Mfano wanaofanya voda kupitia erolink ni majonz tu...
Physical impression au appeareance ya mtu sometmez nikigezo kikubwa kwanza inakutambulisha wewe jinsi ulivyo na hata tabia yako, uwez ukavaa katakei au kimin au sio nadhifu kwenye intervew alafu wakakuchukua kwan watakugrade wewe ni muhuni na hujitabui au huna nidhamu hata kazin utakuwa huna...
Nakushauri ukajitolee kaz angalau mwaka mmoja hasa za professional yako maana kazi za cku hiz experience ina matter zaid. Utaweza ku compete na weng, atleast gpa yako ianzia upper second kama ni degree. Mengine MUNGU anatenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.