Hii ni kweli japo wanawake wazuri wengi ujisikia mno, uona wao hawawezi kukosa mwanaume na wengi uwa wapo kimaslai Kwa kigezo Cha uzuri, wachache mno wenye uelewa wa upendo wa dhati na kutulia
Asante sana Kwa ushauri ndugu!
Na polisi tulienda wakashauriwa ivyo, ila Bado tu wananisumbua, nasubiria kuona barua Yao ambayo wanataka kunitumia,
Ili nipate kupata ushauri zaidi kujuwa Nihatua ipi niichukue,
Asante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.