watu wa type hii ndo wanaifanya tanzania haiendelei bora tukupeleke somalia ukafe na vita jiamini wewe tz ndio edeni watu watakuja hatakama tusipokuwa na kiherehere kama chako
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
hivi kwanini unajifanya zuzu wakati unaaakili timamu?? kuna tuhuma gani hapo ya kuchukuliwa hatua mwanahalisi wamefanya utafiti wao ndio maana wameamua ku publish hivyo mtuhumiwa alitakiwa kuja na uthibitisho wakuwa prove wrong Then awashitaki ..story zako za vijiweni usiletu humu kama hujui...
nilichongundua ni kwamba unauwezo mkubwa kuelezea jambo but unauwezo mdogo wa kutafsiri mambo au umegewa mpunga iliumsafishe nikikuuliza maswali katika porojo zako hizo hautajibu ngoja nikuulize swali dogo tuu linalojibika kirahisi ku proove uwezo wako[emoji115] Katika list ya makonda ya...
1st understand the definition of drugs every drugs has -ve effect bt kuna drugs zinatumika kwa tiba pain kila ,operation ..kuna drugs zinatumika kuchangamsha mwili cafein in energy drinks coffee cocain in coke even alchohol is drug some of them ni drugs tunazitumia kilasiku hatujui kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.