Ccm watuachie jimbo letu, 2015 mambo ya kuhongwa viela mbuzi na Kagasheki baadae anadhalilisha watu kwa kuwatupia shahada zao hadharani vijana wamechoka.
Mkuu, spelling errors ni kitu cha kawaida ukizingatia kasema yupo mahakamani na anatupa updates on time, sema kilichokuuma wewe ni kuona tunapata kitu live toka mahakamani gamba wewe. Tulia mnyolewe tartiiiiibu!
Mkuu Tumaini wanakuumiza kichwa bure, ukweli wanauona kila kitu kiko wazi ila ni akili zao tu ndogo wana argue tu ili waonekane wamechangia kitu, mbona sijamuona Nape hapa? Atachangia nini kama sio pumba?!
Ni rahisi sana kuandika hapa lakini siku ikifika sitakuona. Mawazo yenu ni finyu mno mnajua mtatawala milele? Kuna dola zilikuwa na nguvu leo ziko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.