Unit 1 kwa Shs 2,500 maana yake ndoo moja ya Lita 20 ni sawa na Shs 50, fedha hizi zinatumika kulipia umeme, kununua madawa ya kutibu maji, kulipia mishahara ya watumishi, kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji pale inapoharibika, kufanya upanuzi wa miundombinu ya maji kwa wateja wapya. Je...
HUwa ni balaa kama muhusika hajaacha wosia. Lakini kama ameacha shida inakuwa kidogo sana. Kwa maelezo ya yule mwanamke ilionekana wosia uliachwa na marehemu sasa tatizo linakuwa wapi?
Hao wamachinga wamekuwepo hata kabla haujazaliwa, sasa leo ndo umewaona kero? Acha kukurupuka, CCM waliwaweka wenyewe sasa ndo imekuwa nongwa wakati wa UKAWA? Acha utaratibu ufuatwe wakati wa kuwatoa kuliko kutumia nguvu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.