Unaweza kufungua workshop ndogo ya kuchomea,vifaa grender,drill machine,welding machine,nk pia ukaweka compressor ya kuweka upepo kwenye magari na pikipik pia kuziba pancha .jitahidi kuchagua site nzuri Mimi nilianza hivyo tu nipo mbali Sana Nina hadi leath machines karibu
Ushauri wangu in kwamba civil engineers na wataalam wengine huu ndio muda wao wa kufanya research kuhusu geografia ya maeneo yanayoathiriwa na mvua especially mapondeni nk.kazi ya engineers ni kubuni namna ya kuondoa matatizo yanayoikumba jamii japo sina uhakika na engineers wetu kama wanajua...
jibu la kitaalam ni kwamba cable ya pasi huwa flexible kutokana na matumizi yake mfano unapopiga pasi unakuwa unapeleka pasi mbele then nyuma sometimes pembeni nk.so layer ya juu ya hiyo cable ina material kama ya nguo fulani so unapopiga pasi hiyo layer huwa inakuwa kama inasokotota wire ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.