Kwa kweli matatizo ya ushindani wa kibiashara, kumlinda mlaji na biashara haramu ya bidhaa bandia ni matatizo "serious" sana katika jamii yetu.
Tatizo la eneo lile zipo kazi kwa uchache wake wanafanya ila hawahabarishi umma kabisa! Kurasa zao za mitandao zimejaa picha za viongozi na hawasemi...
Mimi sehemu nilipikuwepo wanajeshi walikua wana support tuandamane. Na polisi wakija wananawaambua raia watawanyike. Ukweli ni kuwa Jeshi (vijana wanajeshi) walitaka mapinduzi ila hawakua na pa kuanzia
Lakini ukiangalia ni kweli TPDF wale vijana walikua wana support sana waandamanaji. Very calm! Ni vile traction tu ilikosekana na ile kauli ya CDF naona iliwavunja vijana wake moyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.