Recent content by emperor

  1. emperor

    JamiiForums Tanzania Kama Yale maandamano ya mapinduzi yangefanikiwa kufika jioni(Giza) nchi ingechafuka mpaka sasa kungekuwa na mapigano/vita ya wenyewe kwa wenyewe

    Mimi sehemu nilipikuwepo wanajeshi walikua wana support tuandamane. Na polisi wakija wananawaambua raia watawanyike. Ukweli ni kuwa Jeshi (vijana wanajeshi) walitaka mapinduzi ila hawakua na pa kuanzia
  2. emperor

    JamiiForums Tanzania Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Sovereignty ndo utaijua kama ina mipaka au haina
  3. emperor

    JamiiForums Tanzania Simu niliyoagiza China kupitia AliExpress, naona imekwama kunifikia

    Kama ni Speedaf wanaleta utafika. Just relax.
  4. emperor

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwa Usalama wake ni huu hapa, waliokaribu naye wamfikishie

    Umejuaje kwamba anahamahama?
  5. emperor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mtazamo wangu kuhusu tarehe 9 Disemba 2025

    Lakini ukiangalia ni kweli TPDF wale vijana walikua wana support sana waandamanaji. Very calm! Ni vile traction tu ilikosekana na ile kauli ya CDF naona iliwavunja vijana wake moyo
  6. emperor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Alirekodi wapi sauti tukam follow? Anaonekana deep state
  7. emperor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Alirekodi wapi sauti tukam follow? Anaonekana deep state
  8. emperor

    JamiiForums Tanzania December 9 imekaa vibaya Sana kwa Wanamtandao

    Ni kwelii
  9. emperor

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi: Hivi Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda wananchi au mtu mmoja?

    Ila ni kama tulivamiwa na mamluki kutoka nje mijitu hata kiswahili haijui. Sqsa hio mipaka imelindwaje jamani?
  10. emperor

    JamiiForums Tanzania Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Jielimishe kuhusu landing right mkuu Hakuna sheria yoyote CNN imekiukAa. Matumizi ya neno "haki za kutua" katika sheria za Tanzania yanahusu zaidi waendeshaji wa satelaiti wa kigeni wanaouza uwezo wa mawasiliano kwa waendeshaji wa ndani walio na leseni kwa ajili ya huduma za kibiashara za...
  11. emperor

    JamiiForums Tanzania Nini tafsiri ya kumpa Mzanzibari Wizara ya Fedha?

    Hakuwahi kudhani kwamba kuna siku Mzanzibar ataongoza URT kwa sababu namba za voters hazikubaliani na logic hio. So yeye alidhani ni "smart" and strategic thing to do. Asichojua ni kuwa unaweza usipigiwe kura kabisa na bado ukatangazwa na 98%win. We are all fucked
  12. emperor

    JamiiForums Tanzania Baraza la maaskofu nchi hii ni ya kidemokrasia na siyo ya mfumo wa kikristo wala mfumo wa dola ya kiislamu acheni kuipa amri serikali

    We ni mjinga sana! Jasusi la Mbinguni lilikua mwiba wa serikali tangu zamani hajaanza na serikali ya Samia. Labda kama umemjua leo
Back
Top Bottom