Lakini ukiangalia ni kweli TPDF wale vijana walikua wana support sana waandamanaji. Very calm! Ni vile traction tu ilikosekana na ile kauli ya CDF naona iliwavunja vijana wake moyo
Jielimishe kuhusu landing right mkuu
Hakuna sheria yoyote CNN imekiukAa. Matumizi ya neno "haki za kutua" katika sheria za Tanzania yanahusu zaidi waendeshaji wa satelaiti wa kigeni wanaouza uwezo wa mawasiliano kwa waendeshaji wa ndani walio na leseni kwa ajili ya huduma za kibiashara za...
Hakuwahi kudhani kwamba kuna siku Mzanzibar ataongoza URT kwa sababu namba za voters hazikubaliani na logic hio. So yeye alidhani ni "smart" and strategic thing to do. Asichojua ni kuwa unaweza usipigiwe kura kabisa na bado ukatangazwa na 98%win. We are all fucked
Top spy wa wapi? Hivi hizi story za vijiweni mnatoaga wapi? Anaweza kuwa spy ila kumuita "top spy" is exaggeration. Top spy alieshindwa kudhibiti maandamano na maafa kabla hayajatokea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.