Recent content by emperor

  1. emperor

    Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Sovereignty ndo utaijua kama ina mipaka au haina
  2. emperor

    Simu niliyoagiza China kupitia AliExpress, naona imekwama kunifikia

    Kama ni Speedaf wanaleta utafika. Just relax.
  3. emperor

    PostGE2025 Mtazamo wangu kuhusu tarehe 9 Disemba 2025

    Lakini ukiangalia ni kweli TPDF wale vijana walikua wana support sana waandamanaji. Very calm! Ni vile traction tu ilikosekana na ile kauli ya CDF naona iliwavunja vijana wake moyo
  4. emperor

    PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Alirekodi wapi sauti tukam follow? Anaonekana deep state
  5. emperor

    PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Alirekodi wapi sauti tukam follow? Anaonekana deep state
  6. emperor

    Swali fikirishi: Hivi Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda wananchi au mtu mmoja?

    Ila ni kama tulivamiwa na mamluki kutoka nje mijitu hata kiswahili haijui. Sqsa hio mipaka imelindwaje jamani?
  7. emperor

    Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Jielimishe kuhusu landing right mkuu Hakuna sheria yoyote CNN imekiukAa. Matumizi ya neno "haki za kutua" katika sheria za Tanzania yanahusu zaidi waendeshaji wa satelaiti wa kigeni wanaouza uwezo wa mawasiliano kwa waendeshaji wa ndani walio na leseni kwa ajili ya huduma za kibiashara za...
  8. emperor

    Nini tafsiri ya kumpa Mzanzibari Wizara ya Fedha?

    Hakuwahi kudhani kwamba kuna siku Mzanzibar ataongoza URT kwa sababu namba za voters hazikubaliani na logic hio. So yeye alidhani ni "smart" and strategic thing to do. Asichojua ni kuwa unaweza usipigiwe kura kabisa na bado ukatangazwa na 98%win. We are all fucked
  9. emperor

    Baraza la maaskofu nchi hii ni ya kidemokrasia na siyo ya mfumo wa kikristo wala mfumo wa dola ya kiislamu acheni kuipa amri serikali

    We ni mjinga sana! Jasusi la Mbinguni lilikua mwiba wa serikali tangu zamani hajaanza na serikali ya Samia. Labda kama umemjua leo
  10. emperor

    Kiongozi mwandamizi wa Redcross ako nchi jirani yule Askofu atumia zoom

    Top spy wa wapi? Hivi hizi story za vijiweni mnatoaga wapi? Anaweza kuwa spy ila kumuita "top spy" is exaggeration. Top spy alieshindwa kudhibiti maandamano na maafa kabla hayajatokea?
Back
Top Bottom