Recent content by emperor

  1. emperor

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Walichelewa sana kusimama. Hawa ukuu huo mnaoufikiria ndugu zangu
  2. emperor

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Peleka ujinga huko court investigation/hearing sio adversarial. Na hao watu Lisu ndo aliwataka mwenyewe. Sio kwamba ni Jamhuri imewaita
  3. emperor

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Hahahahahhahahaha nimecheka kisenge aseee
  4. emperor

    JamiiForums Tanzania Swali lisilotakiwa kuulizwa: Nani alikuwa nyuma ya Emmanuel Nchimbi?

    Tatizo tunashindwa tofautisha matendo ya dola na matendo ya SSH
  5. emperor

    JamiiForums Tanzania Nimedokezwa, Palamagamba Kabudi ameongezewa ulinzi kuelekea Mkutano wa Dharura wa CCM huko Dodoma

    Unachekesha wewe sio bure
  6. emperor

    JamiiForums Tanzania "Chenji Tumeishiwa, Chukua Pipi" — Huduma Mbaya kwa Wateja Tanzania, Tuzungumze

    Hio ya "tumekosa chenji chukua pipi" ni makosa chini ya Sheria ya Ushindani Namba 8 ya mwaka 2003. FCC wamelalaaaaaa
  7. emperor

    JamiiForums Tanzania HOJA Tume ya Ushindani wa Kibiashara nchini (FCC) inajua kweli kazi yake? Ipo kimya kwenye mambo mengi sana

    Kwa kweli matatizo ya ushindani wa kibiashara, kumlinda mlaji na biashara haramu ya bidhaa bandia ni matatizo "serious" sana katika jamii yetu. Tatizo la eneo lile zipo kazi kwa uchache wake wanafanya ila hawahabarishi umma kabisa! Kurasa zao za mitandao zimejaa picha za viongozi na hawasemi...
  8. emperor

    JamiiForums Tanzania Kama Yale maandamano ya mapinduzi yangefanikiwa kufika jioni(Giza) nchi ingechafuka mpaka sasa kungekuwa na mapigano/vita ya wenyewe kwa wenyewe

    Mimi sehemu nilipikuwepo wanajeshi walikua wana support tuandamane. Na polisi wakija wananawaambua raia watawanyike. Ukweli ni kuwa Jeshi (vijana wanajeshi) walitaka mapinduzi ila hawakua na pa kuanzia
  9. emperor

    JamiiForums Tanzania Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Sovereignty ndo utaijua kama ina mipaka au haina
  10. emperor

    JamiiForums Tanzania Simu niliyoagiza China kupitia AliExpress, naona imekwama kunifikia

    Kama ni Speedaf wanaleta utafika. Just relax.
  11. emperor

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwa Usalama wake ni huu hapa, waliokaribu naye wamfikishie

    Umejuaje kwamba anahamahama?
  12. emperor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mtazamo wangu kuhusu tarehe 9 Disemba 2025

    Lakini ukiangalia ni kweli TPDF wale vijana walikua wana support sana waandamanaji. Very calm! Ni vile traction tu ilikosekana na ile kauli ya CDF naona iliwavunja vijana wake moyo
Back
Top Bottom