Apocrypha ni vitabu vilivyofichwa ili kuondoa mitanziko ya kimafundisho.Bible imeandikwa kwa reference 227 ambavyo ni non-canonical books na hivyo wenye hekima na akili ni ngumu kuielewa.
Ukiwa sehemu ya walamba asali huwezitaka kukinukisha kwani mnuko huo ni dhidi yenu.Kauli jumuishi kama hiyo ni dalili ya kuvimbiwa asali na yatokayo kinywani ni athari za tumbo kuchafuka
Usisahau uchawa na kulaumu serikali kutowajibika kwa changamoto za kijamii na wao kujiweka kando.Mfano:serikali hajafanya haya na yale lakini wewe ni mlipakodi umekaa pasipo kazi na lawama kwa serikali
Jamani tupunguze uzushi kwani huku ni kudhalilisha jukwaa.Kilevi kipatikanacho katika pombe ni ethanol ambayo hupatikana kwa kuchachua(ferment) sukari.Chanzo cha sukari huamua aina ya pombe iwe bia ama divai.Utoneshaji(distillation) wa bia ama divai twawezapata spirits ambamo pia kuna whisky,gin...
Awezaye kujaji mtu kuwa ni idiot ni mhitimu katika shule ya idiotism na hivyo sijui yeye ni nani.Free will vs determinism ndiyo mada yetu,jazba na matusi vya nini?
Upo msiba hapa mtaani uliotokana na mke kumuua mume kwa kumchoma kisu mumewe katika magomvi.Inafikirisha haswa ukiangukia kwa feminist,hii haijalishi kisomo chake kwani wanashirikiana.
Kwenda shule ni suala moja na kuelimika ni jingine.Uliyepita shule watambulikaje mbele ya jamii?Au nawe wataka kuwa kama wazee wetu wa darasa la nane kwa tambo za kiingereza pasipo na tija katika jamii?
Professional code of conduct contends that TEACHING IS A VOLUNTEERING WORK.Tangu chuo mwalimu hufundwa kuridhika na hali yake kwa gharama za uzalendo kwa taifa.Basic tenets za falsafa ya idealism ndizo nguzo ya professional code of conduct for teaching hivyo tuoneeni huruma tu lakini ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.