Recent content by Emoj

  1. Emoj

    Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

    Hapo tu uliposema "mama ,Naomba haki yangu basi Leo". hata ingekuwa Mimi mke wako sikupi. What a poor approach. Shaaa!. Style up banaa.
  2. Emoj

    Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

    Hello. Mashine hii ya kunyonyolea kuku ni sh ngapi please?
  3. Emoj

    Bei ya mchele ipoje Kahama

    Katolo city ni wapi mkuu?
  4. Emoj

    Mdau anaomba ushauri kuhusu tabia ya jirani yake

    Let him mind his own business. Basi.
  5. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Skrill vipi mkuu..haikusumbui? Hasa kwenye withdraw
  6. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante Sana mkuu kunifungua hapa.
  7. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba pia kuuliza Kama Kuna mtu anachezaga casino za BC games?. Au hazina kibali Cha kuoperate hapa TZ?
  8. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    1xbet wanazingua hatari, Kampuni kubwa but huduma deposit na withdraw hivyo kabisa.
  9. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii Astropay naona majamaa Wameipondea Sana Hadi wakanitisha tamaa, ukiangalia review ya hii app ni hatariii, wanasema kudeposit ni rahisi Ila kuwithdraw is as bad as hell.
  10. Emoj

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    Mkuu Juzi nilipita maeneo ya chekereni, nilifanya kuulizia pale Ni wapi maana Nilikuwa sipajui,nikaambiwa panaitwa chekereni, watu wanatajirika Sana pale, Kuna mashamba ya nyanya. Naomba kujua huko mashamba wanakodishaje mkuu?.
  11. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamani nyie mnaobet high stake Kuanzia laki 2 kwenda juu huu moyo mnautoa wapi jamani?..hebu nifundisheni mwenzenu Aki Jana kwa Mara ya kwanza nilibet 100k kwa single bet sikulalaa usiku mzima Niko naiwaziaa[emoji23][emoji23][emoji23] na mbaya zaidi game ilikuwa ya saa 9 usiku. Nimeamka Leo...
  12. Emoj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mfate Pdidy inbox akupe odds[emoji4][emoji4]
Back
Top Bottom