Habarini za mda huu wakuu!
Ninashida na sample ya talaka ya ndoa ya kikristo ambayo imetolewa ma mahaka. Yoyote mwenye sample ya talaka ya namna hiyo naomba anisaidie. Natanguliza shukrani! [emoji120][emoji120][emoji120]
Kesi ilianzia mahakama ya mwanzo akashindwa akaenda mahakama ya wilaya wakati kes inaendelea mahakama ya wilaya mwenyekiti wa mtaa ambae alikua ni jirani yetu akatu shauri kwann tusi yamalize, tukayamaliza sasa baada ya miaka kumi na sita jamaa kaingiwa tena na tamaa kaenda kata kufufua kesi...
Habarini za wakati huu waungwana! Naomba kujuzwa kenye mambo ya migogoro ya ardhi je mlalamikaji anahaki yakuanzisha kesi upya katika ofisi za kata ya serikali za mitaa, ilihali kesi ilisha fika mahakama ya wilaya zaidi ya miaka kumi na sita iliyopita na hakuendelea nayo mpaka mwisho je leo...
Ndio mkuu hao ni Ttcl na wanatumia coaxial japokua huduma ya fiber wana provide pia japokua ni gharama za mteja kufikishiwa huduma ila kwa coaxial ni gharama zao 12/1mbps nahis ndo wanamaanisha 12mbps
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
T office lite speed ni ndogo sna mkuu, japokua ni wazo zuri pia. Movies ninazo nyingi sababu kubwa yakutaka Internet ni kudownload movies/series mpya ambazo zinatoka kila siku na movies moja moja ambazo mteja atahitaji na mm sina. Nilikua na wazo lakuchua Package ya T volume GB 150 speed ya...
Habari za muda huu wadau, naombeni mawazo ni package gani kati ya hizi mnanishauri nichukue itanifaa kwenye biashara yangu hii mpya ya library ambayo inahitaji huduma ya Internet ili nidownload movies na series!
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Habari ndugu Admin naomba kujuzwa gharama zaku ongeza meter ya luku katika nyumba ambayo tayari ina meter, Nipo Ilala bungoni vilevile naomba kujuzwa taratibu gani ni fwate na kipi na kipi kina hitajika ili kukamilisha mchako na itachukua siku ngapi mpaka kua tayari?
Sent from my SM-G9550...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.