Ndiyo inawezekana, Kuna maji ya mto Lugonesi upo katavi ukinywa maji ya huo mto utazaa mapacha. Ingia utube andika mto LUGONESI utapata shuhuda za kutosha.
Wamasai sio wakorofi miaka yote wanatembeaga na silaha zao za jadi bila tatizo. Hii laana ya kuwafukuza kwenye ardhi yao inawatafuna na mkome kabisa.
Mmasaai kuvaa lubega na kuchukua sime na rungu ndiyo utamaduni wao.
Mkuu umenigusa, Mimi Nina butcher la samaki na kuku mzigo umeingia saa 18:13 pm umeme haukuwepo na Hadi Sasa hivi saa 21:17pm umeme haujarudi.
Mapigo ya moyo yanadunda, nimemaliza chuo nikachichanga kufungua biashara afu serikali inashindwa hata kutupa huduma ya umeme? Wanataka tukajiunge na...
Mwalimu Michael ( Mnyama) alikuwa anafundisha Physics na Maths pale Mwanza, huyu mwamba alikuwa ni hatari kwa hayo masomo ila tatizo alikuwa anatumia muda mwingi kufundisha na kusahau kula.
Hakuwahi kuwa na sikukuu, Christmas au mwaka mpya pindi linaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.