Recent content by emmanuel said

  1. E

    Ishara ya kifo imetimia, CCM imeng'oka leo rasmi kwenye medani za siasa Tanzania

    Lazima mngejaa tu kwa staili ya kubeba na malori…!!!! UDA c zenu?
  2. E

    Tatizo la kukataliwa na wasichana

    Duh…! njo nkutongoze ujue tunavotongozaga…
  3. E

    Wafuasi wa Lowassa na CHADEMA, hawajui wanafuata nini

    Hatuhitaji sana kujua atachotufanyia kwan hakuna kiongozi ataekuomba kura atakwambia mabaya,cha msingi inabidi ulinganishe sera zake na alichotufanyia watanzania kinachoonekana,sio tu eti nimejenga barabara afu uchumi umeshuka barabara zimetusaidia nn…?,mtu katujengea shule za kata al...
  4. E

    Wafuasi wa Lowassa na CHADEMA, hawajui wanafuata nini

    Mungu pekee ndo anaejua watu wanafuata nn kwa Lowassa,kwann wasimfuate Pombe…?
  5. E

    Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?

    Swali la kujiuliza hapa ni kwamba Kwan hakuwa waziri mkuu…? Na kama alikua waziri kwann asiitwe mstaafu…? Na kwann asilipwe stahiki zake…? Au hakuwa mtumishi wa umma…? Je,wewe ulieuliza unaakili timamu…?
  6. E

    Dawa ya Lowassa yapatikana

    Mfa maji haishi kutapatapa,hakuna asiejua kama El ni fisadi baada ya kuchafuliwa ndani ya miaka nane lkn bado watanzania wana imani nae kutokana na kazi nzuri aliyowafanyia wakati akiwa waziri mkuu,lazima alipwe fadhira zake,sioni magufuli anapomshinda El zaidi ya kuchukiwa na watu waliobomolewa...
  7. E

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Kwenda msibani ni namna mhusika alivoguswa na msiba haijalishi unasindikizwa na watu wangapi,hawa polisi wa ccm wawe wanafikiria mara tatutatu kabla ya kutekeleza maamuzi ya mabosi wao,El ni mgombea uraisi ukawa lkn ni waziri mkuu mstaafu kwa vyovyote vile lazma atakuwa na msafara wa watu wengi…
Back
Top Bottom