Hayo yote yanayojitokeza hivi sasa ni matokeo ya kumlazisha mtu kama Mwigulu kushika nafasi kubwa ya chama ambapo tumeona kabisa uwezo wake kiutawala ni mdogo sana. Hakuna hata anachoongea kikaonekana ni tamko la kiongozi wa juu wa chama . CCM kunahaja wachukue maamuzi kabla hajasababisha...
Hi mpaka waziri anatumia gharama zote kwenda Mwanza kwenye kikao cha kugombea kuchinja Mkuu wa Mkoa yeye anafanya nini kama hata mambo madogo kama haya yanamshinda? Hii ni kasoro kubwa.
Huyu ndiye aliyeonekana anafaa kutatua hili tatizo na ametoa maamuzi ya kijinga kama haya ; Hivi uko nje wanapoenda si wanatutia aibu hivi hatuna viongozi wenye uwezo zaidi ya huyu ambaye bila aibu ameonekana kwenye TV jana na misimamo ya kijinga.
Tufikirie mambo mazuri yakutuletea maendeleo. Kuchinja imekuwa issue hamna jipya kila siku mawazo finyu. mara kuvunja makanisa etc hivi ni lini tutafika. Sisi wakristo tunahaki ya kuchinja mawazo yenu na maamuzi yenu ya jana na huyo kiongozi ni yenu.
Kila dini inahaki ya kuchinja hivyo sioni sababu ya dini moja kuonyesha uharari wa kufanya hivyo pia nawashauli viongozi serikarini msitowe misimamo ambayo inamadhara na aibu kwa uma kwani sisi wananchi tunashangaa kuona kiongozi mkubwa kama huyu anapotoa misimamo kama hiyo aliyoitoa jana ni...
Ni kwamba nilifanyiwa kipimo cha hydascan KCMC ambapo waligundua kuna a bile leak kwenda kwenye abdominal cavity. Hili tatizo hunisababishia maumivu makubwa tumboni hivyo lengo langu hasa ni kufahamu kama huu ugonjwa unatibika na husababishwa na nini pia madhara yake hapo baadae.
mfuko wa nyongo mwilini unatakiwa kipindi furani ufunguke ili nyongo itoke na kipindi furani hufunga kuzuia nyongo isitoke. kwa upande wangu imeonekana huwo mfumo unakasoro na hivyo kutokuwa na control na hivyo nyongo utoka tu . naomba mnifahamishe hili tatizo ni nini chanzo chake na madhara yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.