Porojo nyingine zinawafaa wale jamaa wa Mirembe. Hawajalipwa miezi mitano wanaishije. Wamekuomba wewe uwasemee kwa sababu wao hawawezi kufanya hivyo. Mtumishi wa serikali aliyeajiriwa kwa mkataba hawezi kufanya kazi miexi mitano bila kulipwa ujira wake. Hizo porojo zipeleke kwa wanaozipenda...
List ni ndefu sana, ni ujinga kununua nguo kutoka China wakati pamba inalimwa Mwanza, ni ujinga kununu samaki vibua kutoka Afrika Kusini wakati tuna bahari kutoka Tanga hadi Mtwara, ni ujinga kununua Viatu kutoka Kenya wakati nchi yetu ni ya tatu kwa kuwa na mifugo mingi Afrika, ni ujinga...
Ah, jamani mbona tunapotezeana muda. Ni rahisi sana ukitaka kujua Mali za mtumishi wa umma nenda tume ya maadili ukiona huko hutapata msaada unaouhitaji nenda Takukuru, kama huko kote hutapata msaada mshukuru Mungu kisha KAA KIMYA.
Kama sote sisi sasa tuelekeze mawazo yetu katika swala la vyeti vya Bashite then basi tumepoteza lengo. Mkuu wa mkoa siyo mtumishi hicho ni cheo cha kisiasa sawa na waxiri na wabunge. Mawaziri, wakuu wa mikoa/wilaya wapo hivyo kwa ridhaa ya Rais. Ana madaraka ya kuteua na kutimua. Wote hao...
Namkumbuka Mwl Nyerere, aliwahi kusema kama hatuna utaalamu wa kutosha kuhusu madini tuyaache huko huko aridhini hadi hapo vijanacwetu watakaposomea na kubobea. Leo hii wawekezaji wetu hawa wanahamisha madini pamoja na mchanga wake kwa maelfu ya tani na kutuachia mashimo. Wenzetu bila hata soni...
Mjengwa amejitahidi kulielezea lilo aliloliona kati ya waziri Nape na Rais. Hata mimi nilishangaa sana kwa waziri kuunda tume ikamhoji yule ambaye Jana tu Rais alielekeza achape kazi halafu ati ripoti ipelekwe kwa Rais. Mawaziri waliyowengi wamekwisha baini wanafanya kazi chini ya kiongozi wa...
Hivi mtu awe na elimu kiwango gani kujua mkandarasi akimaliza kazi iliuomleta analazimika kuondoka. Au ukiwa muwekezaji utaendelea kukaa nchini hata kama huna mradi wa kutekeleza. Kazi kweli kweli. Kumbe wakati mwingine kuwa na cheti cha elimu kizuri hakumfanyi mtu awe muelewa.
Tatizo letu tuliyowengi ni itikadi tunadhani inayosha kusema huyu kafanya hiki na tuungwe mkono. No, let's give him chance, time will come when each one of us will have decided as to whom deserve his vote.
Hoax, kama nchi ina tume ya maadili ya viongozi wa Umma inayoongozwa na watu wenye hadhi katika nchi hii. Kila kiongozi wa Umma anatakiwa kwa mujibu wa sheria kutangaza Mali alizonazo. Mali za wizi zitajulikana tena asubuhi na mapema. Kuna TAKUKURU kazi yake kuangalia wenye Mali nyingi...
Kwa bahati Biblia imeandikwa kwa lugha ya Kiswahili na nyingine kwa lugha zetu za asili. Maagizo yote ya Mwenyezi Mungu yanapatikana katika Biblia. Soma vizuri Biblia fuata maagizobyske. Ukatoloki, Ulutheli, Uanglikana, Ulokole hata ule uliopindukia hautampeleka MTU mbinguni. Matendo ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.