Watanzania wasiopennda Nchi kumiliki ndege ni wale wanaopenda kuona nchi ikiwa tegemezi kila kitu ni kwa hisan ya , wanataka hata Rais akienda nje apande ndege za abiria
ile ilikuwa1 na ya ki local haikuwa hata kuona anga ya Zanzibar lakini mijitu ilipiga hela bilion 40, imagine huyu kanunua 4 kwa bilion 45 na uwezo mkubwa kucover maeneo yote,
Kwa sasa tunaweza kudefence Anga letu lote na nchi jirani,tunaweza kuthubu kusema mpumbavu arushe ndege za kivita atakiona na si hilo tu pia tutapata mapato kwenye ndege zinazopita anga letu kisirisiri. Good Enough Presidaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.