Mpaka Sasa campein Zimepamba Moto Wagombea Ubunge Kwa Ujumla Wao Wapo Watano Kwa Majina Ni Kama Ifuatavyo (1) Salvatory Sege (2) Msabaha Wa Marekani (3) Bahati Richardson (4) Hassan Msoma (5) Abasi Saad Kibiki Wote Wanafanya Kazi Za Chama Kwa Msaada Wa Mtia Nia Wa Jimbo La Mikumi Profesor Jay...
Jimbo La Kilosa Kati Ni jimbo Gumu Sana Kwa Historia Yake Miaka Yote CCM Wanashinda Wao Tu Ila Uchaguz Huu Umetufanya CDM Kupumua Kwa Aman Na Kutembea Kifua Mbele Kwa Sababu Tumeshinda Robo Tatu Ya Jimbo Yaaan Hata Sijui Nitoe Pongez Gan Kwa Wananch Lakin Pongezi Kwa CCM wenyewe Maana...
Tayar Vita Imeanzishwa Na Kigogo Wa Bandar Kutaka Kununua Jimbo La Morogoro Kusin Kwa Kuwanunua Wajumbe Ameanza Zoez hili Miez Sitta Iliyopita Anawapa Wajumbe kati Ya Laki na Elfu 50 Kwa Ujumla Kigogo wa Bandar sio Mtu Wa Kule Ila Anatumia Pesa Kununua Wajumbe Ili Apite Kwenye Kura Za Maon...
Nina Karibia mwezi moja Sasa Nawatafuta Wabunge Wa Chadema Kwa Mazungumzo Nyeti Ya Kitaifa Na Yenye kuleta Matunda Kwa Nchi Yetu Lakin Wamekuwa Adimu Sana Ofisi Za Chama Chao Ni Ngumu Kuwapata.
Kila Mtu Anakwambia Andika Barua, Ukiandika Unaambiwa Subiri Wiki Ya 4. Yaan Mpaka Wanaboa
NAOMBA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.