Recent content by emmanuel kicha

  1. emmanuel kicha

    Ushauri tafadhali juu ya mtoto mchanga, kijana wangu ana vipele sana usoni

    Mm naomba niulize sana jf,mtoto mchanga Wa kuanzia siku moja mpka mwezi mmoja hairuhusiwi kumwogeshea hizi sabuni za watoto mfano detol baby soap na kumpakaa powder? Naomba kuelimishwa juu ya hili sana if.
  2. emmanuel kicha

    Natafuta mume

    Niaje
  3. emmanuel kicha

    Hatimaye uandikishaji umefikia hatua ya nyumba kwa nyumba

    Hta huku kishapu mwendo ni huo.
  4. emmanuel kicha

    Jamaa yangu anasumbuliwa na tatizo la kuvimba korodani moja ya kushoto

    Asante kwa ushaur, nami nitamjuza mkuu ili afanye hvyo.
  5. emmanuel kicha

    Jamaa yangu anasumbuliwa na tatizo la kuvimba korodani moja ya kushoto

    Habari, kuna jamaa yng wa karibu sana, anasumbuliwa na tatizo la kuvimba korodani moja la kushoto, kwamaelezo yke anasema korodani hilo limevimba hadi kufikia ukubwa wa yai la kuku, wakati lile korodani la kulia limezidi kusinyaa na kuwa dogo km ukubwa wa panadol, na anakoishi ni kijijini sana...
  6. emmanuel kicha

    Mapungufu niliyoyaona mechi ya jana Tanzania VS Sudan

    Niko pmj na ww mtoa mada, czan km mechi ya marudiano tutatoboa.kwani naamin wasudan wametusoma ipasavyo.
  7. emmanuel kicha

    Mtoto wangu alipofikisha miaka 2 alianza kusumbuliwa na tatizo la kupumua kwa shida

    Nitaipata wp mkuu, nisaidie tafadhal au inapatikana wp.
  8. emmanuel kicha

    Mtoto wangu alipofikisha miaka 2 alianza kusumbuliwa na tatizo la kupumua kwa shida

    Mtt wng anaumri wa miaka 3 na nusu, lkn alipofikisha miaka 2 alianza kusumbuliwa na tatizo la kupumua kwa shida, na kukoroma km mtu mzima ucku anapolala, na mby zaidi anatokwa na kamasi zisizokata.hili tstizo kiukwel linanitatiza sana, naomba msaada wa mawazo na km kuna mwanajf anaijua dawa...
  9. emmanuel kicha

    Rais Magufuli afanya uteuzi na kutumbua. Dr. Bana, Kipilimba waula. RC Kebwe wa Morogoro achinjiwa baharini

    Kutumbuliwa ni jambo la kawaida kbs, so kikubwa ni kujipanga kwani kuna maisha ya kesho nje ya nafac aliyokuwa nayo.Kikubwa ni ashukuru kwa kila jambo, pili atulie coz mh, rais anaweza mpangia kazi nyingine tena.
  10. emmanuel kicha

    Natafuta mume

    Hbr, mm niko tyr coz hta mm natafuta mke, nichek kwa no hii hpa, 0756875762
Back
Top Bottom