emmanuel kicha
Member
- Jul 30, 2018
- 20
- 12
Mtt wng anaumri wa miaka 3 na nusu, lkn alipofikisha miaka 2 alianza kusumbuliwa na tatizo la kupumua kwa shida, na kukoroma km mtu mzima ucku anapolala, na mby zaidi anatokwa na kamasi zisizokata.hili tstizo kiukwel linanitatiza sana, naomba msaada wa mawazo na km kuna mwanajf anaijua dawa, naomba anisaidie ili mtt wng apone.kumbuke mtt wng ni wako pia.