Tunapoendelea na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa, huko Morogoro mjini tunaarifiwa kwamba wajumbe wa serikali za mtaa wanapita nyumba kwa nyumba kuorodhesha watu wote wenye umri wa kupiga kura, kuanzia miaka 18 na kuendelea
Hii ni confirmed information kutoka kwa wahusika wenyewe (wajumbe), Wamepewa maelekezo kuorodhesha wakaazi wote halafu baadae kufanya ulinganifu, nani kajiandikisha na nani hajajiandikisha.
Najiuliza tu wanalenga nini? Kwamba wakikuta kwenye orodha hayumo wanamuongezea jina lake au wanamchukulia hatua za kutojiandikisha!!?
Tupeni update huko kwenye mitaa yenu mambo yakoje, Morogoro kwa baadhi ya mitaa kinachoendelea ni hicho
Hii ni confirmed information kutoka kwa wahusika wenyewe (wajumbe), Wamepewa maelekezo kuorodhesha wakaazi wote halafu baadae kufanya ulinganifu, nani kajiandikisha na nani hajajiandikisha.
Najiuliza tu wanalenga nini? Kwamba wakikuta kwenye orodha hayumo wanamuongezea jina lake au wanamchukulia hatua za kutojiandikisha!!?
Tupeni update huko kwenye mitaa yenu mambo yakoje, Morogoro kwa baadhi ya mitaa kinachoendelea ni hicho