Recent content by Emmanuel J. Buyamba

  1. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wahusika njooni mu update hii wall yetu hapo kwenye EPL titles. Tuna 20 sasa na si 19 tena.
  2. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Waislamu na Wakatoliki mko wapi Askofu Gwajima ananyanyaswa?

    Kazi kwelikweli.
  3. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Sielewi lengo la CHADEMA kushiriki uchaguzi huu

    Nitarudi
  4. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

    Hizo Mahakama zina kazi kubwa sana ya kukusanya taarifa za kesi hiyo ili kurahisisha kazi kule Mahakama Kuu.
  5. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

    Kuna ulazima wa wewe kufika mahakamani na kujifunza maana ya hizo hatua. Hizo Mahakama za chini kazi yake ni kukusanya taarifa zote na kuzifaili kwenda Mahakama Kuu baada ya kuwa zimekamilika. Lengo ni kusaidia mahakama za juu kutokuwa na mlolongo mrefu wakati wa kusikilizwa kesi husika. Kazi...
  6. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa Kombe la Dunia wabadili mpango wa Messi kustaafu

    Sawa tu maana yalishawatokea wengi hayo wakiwemo Ufaransa, Italia, Hispania na Ujerumani,kikubwa Messi kabeba kombe la dunia.
  7. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Dar: Mfanyabiashara kutoka Tabata afikishwa Mahakamani kwa kusafirisha binadamu

    Naomba kufahamishwa,ikitokea mtu umemhitaji kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa ajili ya kumpatia kibarua, ni wakati gani utahesabika umeasafirisha binadamu na ni wakati gani hutahesabika hivyo!?
  8. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Njombe: Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mara mbili Mwanafunzi

    Kubaka mara 2 ni miaka 60, Mahakama imempunguzia idadi iwe alibaka mara 1, miaka 30.
  9. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Njombe: Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mara mbili Mwanafunzi

    Taarifa inasema alimbaka mara mbili.Hii inamaanisha bila msamaha angefungwa miaka 30 mara mbili ambayo ni sawa na miaka 60. Mahakama imempunguzia ili awe kama alibaka mara moja, miaka 30 hiyo. Daah, haya mambo haya!!.
  10. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

    Suala siyo kuanza ama kutoanza, suala hapa ni kwamba Mungu alishindwa kuumba Ulimwengu ambao dhambi haiwezi kuanza kwa namna yoyote? Mbona wewe hapo ulipo hata ufanyaje huwezi kurudi tumboni kwa Mama yako? Mungu alishindwa kufanya dhambi ishindwe kuanza!?
  11. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Tamko la kuipongeza CHADEMA na viongozi kwa kukutana na Rais Samia

    Hongereni sana CHADEMA mkoa wa Shinyanga kwa tamko lililoshiba.
  12. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

    Hiyo post namba 109 ndiyo hii ya kwako, we unaona kuna kifungu chochote umekiweka hapa?
  13. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

    Unaanzaje kujibu huo utopolo? Umeona kuna vifungu vyovyote vya katiba ya Chadema ameambatanisha ili kusapoti hayo madai yake kuwa Mdee alipaswa kuchukuliwa nidhamu na Baraza Kuu?
  14. Emmanuel J. Buyamba

    JamiiForums Tanzania Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

    Kwako wewe Mungu ni nini? Una uhakika upi kwamba yupo? Unaweza kuthibitisha?
Back
Top Bottom