Recent content by emmanuel.8.sprian

  1. E

    Manyanya: Mtoto hajui Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, Mwalimu Mkuu kazi huna

    hapo kwa kweli mama katokota zaidi ya kuchemka. afanye kwanza utafiti wa ni nini sababu badala ya kutoa tamko ambalo ninaamini hatoweza kulitekeleza maana halitekelezeki kwa sababu ni uvurugaji wa mipango endelevu. hata hao wakuu hawapendi hiyo hali iwepo mashuleni kwao ila inatokea kwa sababu...
  2. E

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Hongera na Ahsante kwa kutukumbusha tuliko toka, tatizo ni kwamba hatuna dira kwa hivyo basi tuendako hatupaelewi na hata kama tukifika hatutaelewa kama ndio hapo maana hatupaelewi.
  3. E

    Makinda awa Rais mpya Bunge la SADC

    sina shaka na kuchaguliwa kwake, naamini atafanya kazi sahihi kwa sababu huko hakuna vyama pinzani.
  4. E

    South Africa declared 5 days of mourning for Nyerere!

    Ifikie hatua tukubari kuwa AFRIKA sasa inaanza kuishiwa wajenzi wake wa mwanzo, hivyo basi, tuliobaki tujitahidi kuzitunza nguzo zilizo simikwa na wajenzi hao wa mwanzo kwani zikiporomoka sijui nini kitafuatia.
  5. E

    Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya Dubai amlaumu mumewe

    ama kweli bongo tuko juu kwa hilo na kama kuna tuzo basi tupewe
  6. E

    Michael Scofield Ajitangaza yeye ni SHOGA

    achukuliwe poa kwani ni maamuzi yake mwenyewe bila shuruti yoyote ya mtu
  7. E

    Madawa ya kulevya: Watanzania watatu wauawa nchini Afrika Kusini!

    whether we accept or not, African governments are likely to be of the same kind. the group is said to be established in the year of 1995 to go against bad drugs, still the government assumes not to recognize it and that is not officially stated as a known group but is termed as a terrorists...
  8. E

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    umasikini wa mawazo tanzania utatupoteza
  9. E

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    katika maisha, ukishindwa kuzitambua faida za umuhimu wako inabidi uoneshwe na kuzijutia gharama za kuupoteza umuhimu huo. hivyo basi hilo litakuwa fundisho kwa tanzania japo viongozi watajisafisha kwa kuwaponda rwanda na uganda ila ukweli utabaki palepale na nilazima itatugharimu.
Back
Top Bottom