Hapa nimewaambatanishia picha ya kuonesha huo muunganiko wa hizo Rhesus factors. Hizo zenye Compatibility hazina tatizo ila yenye Incompatibility ndio ina shida na mara nyingi hupelekea hiyo changamoto ya mimba kuharibika ama mtoto kufariki punde tu baada ya kujifungua. Nawasilisha...
Kwa hii issue ya brother naomba nichangie kidogo, ni kwamba wote hawawezi kuwa na tatizo la uzazi maana mwanamke keshafanikiwa kushika ujauzito tena zaidi ya mara moja. Ila nini hupelekea hadi mimba kutoka.? Naomba nigusie sababu kama mbili hivi
1. Pelvic Inflammatory Disease (PID).
Haya ni...
Yani mwanaume mzima unakuwa na wivu kisa mwanaume mwenzio kuweka jina la mwanamke katika orodha ya uongozi...basi nenda jamaa akuweke nawewe then alipitishe jina lako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.