Recent content by Emmaloy

  1. Emmaloy

    Ipo siku nitawaambia wanangu

    [emoji120]
  2. Emmaloy

    Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

    Umasikini ni chanzo kikubwa sana cha wivu
  3. Emmaloy

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Mshua naona sasa kaamua kukumwagia madini
  4. Emmaloy

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Kama vocha ya 500 inakushinda unafanya nini huko mjini[emoji3][emoji3][emoji3]..@ Mshua master
  5. Emmaloy

    Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

    Author keshaanza kuwa na mambo mengi[emoji3]
  6. Emmaloy

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Mzee Dingi hapaswi kuaminiwa hata kidogo[emoji23][emoji23]
  7. Emmaloy

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Story nzuri, uandishi mzuri..keep it up
  8. Emmaloy

    Wanachama wa hiki chama mnakubali vipi kila mara mtu huyu kuwemo kwenye Viti Maalum?

    Yani mwanaume mzima unakuwa na wivu kisa mwanaume mwenzio kuweka jina la mwanamke katika orodha ya uongozi...basi nenda jamaa akuweke nawewe then alipitishe jina lako
  9. Emmaloy

    Tumuombee sana Profesa J

    Mwenyezi Mungu amjalie afya njema Prof J
  10. Emmaloy

    Lengai Ole Sabaya, Makocha huwa wanabadilika

    Nadhani huu unaweza kuwa uzi wa hovyo kuwahi kuandikwa hapa JF
  11. Emmaloy

    Uelewa wa Mambo kwa watangazaji wa hizi FM Radio ni finyu mno

    Ukitaka kuona jamaa hawana content kabisa..jaribu kusikiliza kipindi cha Mgahawa cha Wasafi FM..ni utopolo mtupu
  12. Emmaloy

    Busega: Aua Mkewe kisha naye kujinyonga kutokana na tuhuma za kusaliti Ndoa

    Jamaa huu msemo wako wa Everyday is Saturday unaukubali kinyama[emoji23][emoji23]
  13. Emmaloy

    Mwana FA, Fan(s) nii wimbo wake upi unaukumbali?

    Amen ft AY na Dullysykes
  14. Emmaloy

    Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

    Moja kati ya ushauri wa hovyo kuwahi kutolewa JF
Back
Top Bottom