sikiliza wewe unaejiita british economist kama ndo unajiunga sua usiongelee kabisa suala la kudisco kwan sua unaweza kua na gpa kubwa lakin ukadisco..katika vyuo vyote tanzania sua ndo chuo pekee ambacho unadisco kiutani utani..rais bado suala lake linashughulikiwa..ushawah kujiuliza kwann sua...
wewe NAAMINI mimi ndo nakupa taarifa sahihi ambayo hata baadae ndo utakayo kuja kuipata..vichwa 4 vimeliwa kwa mwaka wa pili wanaingia mwaka wa 3 na sio mwakatwa kwanza wanaoingia mwaka wa pili..hivyo aliekupa taarifa kakosea labda alidhan mwaka wa kwanza..hope umenielewa..
bro thesym mimi ndo niliesema naingia mwaka wa pili AEA na sijam2kana m2 yeyote kwan sidhan kama ni ustaarabu..na pia msiwe mnapenda ku2kanana humu jf kwan wa2 wakiona watajua ni sehemu ya wahuni..jibizaneni kwa hoja sio ma2si ndugu zangu..
unaweza kulipa nusu kiasi cha ada unachotakiwa kuongeza kama bodi hawajakulipia ada yote..ila kwa mwaka jana kwan miaka ya nyuma wa2 walikua hawakataliw kusajiliwa..sasa mwaka huu sijajua kama wanaendeleza sera ya mwaka jana..
Jaman alichozungumza jamaa ni kwel kabisa..kama hujalipa kiasi kinachotakiwa kuongezea ktk ada, examination fee,registration,maktaba,medical,kitambulisho,suaso na caution money hawakusajil..ila kwa wenye kitambulisho cha bima ya afya wataokoa Tsh 100000.00..pia kuna accomodation Tsh...
Baraza la Taifa la elimu ya ufundi(NACTE) limesababisha wanafunzi wengi waliohitimu diploma waliopeleka vyeti vyao kusajiliwa il kuweza kufanya udahili kwa mfumo wa pamoja(CAS) kushindwa kuomba nafasi ya kujiunga vyuo vikuu..wanafunzi hao walipeleka vyeti vyao pamoja na kulipa Tsh 20000 kama ada...
mi siipendi kabisa chadema..kwann viongozi we2 na wanachama wanauawa na kushambuliwa kila mara halaf hawatangaz amri ya kuwashambulia hawa wa ccm..walianza igunga,mwanza na sasa arumeru..2anzishe vita na chama cha mashoga(ccm)
jaman kuna mashoga humu,.yaan wadogo ze2 wanafukuza kwa kudai haki mnafananisha na chadema..njoo nikusugue kwa gunzi kwan naona basha lako halikutimizii vizuri..
we genius brain akili yako ipo matakoni kwan unashindwa kusoma alama za nyakat. kwa mpango huo utasababisha mwanao akose mume au mke kwa sababu nani anaetaka kupata wajukuu vilaza kama wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.