Recent content by emmaalphonce

  1. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Ukiwa Na divisheni four ya 26 unaweza kupata chuo cha ualimu cha private

    Unataka kuwa mwalim hata division hujui kuandika eti divisheni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka ututolee maboga
  2. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni mnisadie tofauti kati ya Clinical officer, Assistant doctor na Clinical Medicine

    Clinical officer ni MTU aliyesoma clinical medicine Clinical medicine ni kozi ambayo ukisoma ndo unakuwa clinical office na assistance doctor(amo) ni kozi unayosoma baada la clinical officer kwa jina lingine ni advance diploma lakini kwa sasa haipo ukitoka co unaenda moja kwa moja medical doctor...
  3. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo mapya wakuu: Nina Diploma ya A/C na GPA ya 3.4, nifanyeje

    Hapo cha kufanya kasome nje ya nchi yoyote maana GPA inayaotakiwa in 2.7
  4. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania NACTE confirmation Pending Inamaanisha nini?

    Me nlichaguliwa second selection na chuo nikaoneshwa na kozi pia lakin saiz imelud kama zaman selected tu ila chuo hawajaweka SAA sijui tatizo ganii.....
  5. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya NACTE tayari

    Yes am sure ......chuo ni muhimbil pale chin ilikuwa pending lakin sasa imerud kama mwamzo
  6. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Expired Registration VS Expired Accreditation ya NACTE

    Accreditation maana take kibali
  7. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya NACTE tayari

    Me ilikuwa kama ivi saivi imelud kama zamani tena selected afu chuo hawajaonesha hivi ni kwanini
  8. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Nacte second round washapanga vyuo

    Bachelor si TCU au
  9. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Nacte second round washapanga vyuo

    Ingien kwenye profile zenu mtaona
  10. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Solution ya Kujua umechaguliwa WAP diploma

    Dit, must,ATC majina yapo kweny website zao ko unaweza kuangalia
  11. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Solution ya Kujua umechaguliwa WAP diploma

    Afuu utapigaje chuo husika wakat ujui umechaguliwa wap
  12. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Solution ya Kujua umechaguliwa WAP diploma

    Kuna vyuo majina hayapo kama muhas
  13. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

    Tulio cheza utotoni tukutane hapa............ndo kinachofwata mada hazieleweki ...all in all majadiliano mema[emoji88]
  14. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania waliosoma HKL tukutane hapa

    Eti hkl nayo ni combi khaa au mnapenda kuanzish mada tu.....kuna vikwazo gani kwenye hkl labla kama unavitafuta
  15. emmaalphonce

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa walioomba application awamu ya pili NACTE yatatoka lini?

    Vyuo wanapanga Lin xaxa maana naona selected tu
Back
Top Bottom