Tunapaswa kuwa na watu kama wewe wenye msaada kwa jamii hongera kwa ushauri wako mzuri Kuna watu wana lugha chafu humu me nawaangalia tu dawa ipo jikoni
Kuna uhusiano gani kati ya mafanikio yako na uchawi ushirikina?
Mafanikio katika nyanja zote ni lazima nguvu za Giza zihusike ?
Kwa wale mnaotumia nguvu hizo naomba mtupe uzoefu wenu kulingana na eneo lako ulipo na the way uchawi unavyokusaidia
Mungu humlinda anaejilinda je utajilinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.