UKWELI WA WAMAREKANI NDIO HUU WASIZUNGUKE MBUYU....BBC NDIO ISHASEMA
Wakumbuke kila nchi inatamaduni zake na mipaka yake ya uhuru.......
Mr Makonda has] also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of...
Kuuliwa watu 100 si mchezo...imekuwa vita ??? Zito ameongezea chumvi hapo...Watu mia hata vyombo vya habari mbali mbali vingeripoti yaani si suala ambalo lingekuwa kimya namna hiyo......Zito wakati mwingine akiwa anatoa taarifa zake aseme zile zenye uhalisia wa jambo husika asiongeze...
Wanaijeria kwanza dunia nzima wanaogopewa, ni wababaishaji, wezi, matapeli, wabeba unga..lazima wakifika sehemu kama tanzania waogopewe.....
Wakae huko huko kwao hatuwataki
Kwanza kiusalama wa nchi Nchi (Serikali) haiwezi kufanya uhalifu kama huo kamwe sababu kwanza ni kuhatarisha usalama wa nchi kimataifa....na hasa ukizingatia Mo ni Public Figure...hapo ilipo habari zitakuwa zishafika hadi kwa Rais wa Marekani..Mtu kama Mo ni mkubwa si tu kwetu hadi kimataifa...
Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa...
Na hao ulowataja sisi vijana hatuwafahamu ni wa enzi hizo hatutaki mazoea, bali tunataka chuo kituonyeshe ya sasa...tusiongelee ya kale....sasa hivi kimemtoa nani akapeperusha bendera ??
hana lugha nzuri kabisa...lugha isiyokuwa na staha..hata kiongozi wako akukere vipi huwezi kumwambia shika adabu yako...hata kama umemzidi umri...kuna lugha ya kutumia
Tanesco napenda kuwapa hongera sana kwa mwaka huu hakika mmejitahidi sana katika suala la ukataji umeme hovyo...Ila sifa hizi nimpe zaidi Rais wetu, maana kama si yeye inaelekea kulikuwa na watendaji wabovu ambao bila Rais kuwa mkali wasingekuwa na nidhamu kama sasa walivyo..
Hongereni...
Hizi ni hisia zangu, kuna chokochoko za kichini chini za kuchafua serikali ya Magufuli....Tundu ashapona sasa wanaanza kutafuta lingine..
Kibiti ilitoka, wakaja wa kumjeruhi Tundu, sasa wanaanza maovu mengine.
Siasa hizi....Nchi za africa sijui zina tatizo gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.