Recent content by Emery Paper

  1. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Ni kweli kuna sehemu wameminya baadho ya options. Tupo kwenye maisha ya utafutaji kuna nyakati unajikuta baadhi ya fursa zinakupita kisa huna passport.
  2. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Hivi unaona ni sawa siku umepata safari ndipo uanze kuzima moto ?
  3. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Ukifuata njia sahihi unakuwa ni mbahili ?
  4. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Nashukuru kwa msaada wako mkuu.
  5. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Kuna baadhi ya kazi ukitaka kuomba sharti uwe na pasi ya kusafiria mkuu..
  6. Emery Paper

    Msaada kujaza fomu ya passport online

    Habari zenu wakuu ? Niko hapa najaza fomu ya kuomba Passport online. Nimefika hii hatua natakiwa nijaze dhumuni la safari na maelekezo yanasema ni lazima kujaza. Sina safari yoyote bali nahitaji tu kuwa na passport. Kwa wenye uzoefu natokaje hii hatua ? Nashukuruni sana kwa msaada wenu.
  7. Emery Paper

    Mke wangu hashiki mimba, naomba msaada wa mawazo

    Miezi sita bado ni mapema sana. Jipeni muda, fanyeni njia zilizo sahihi na mkiona mpaka miezi 8 bado hamuoni majibu ni vyema mkamuona Gynecologist ambapo atawafanyia vipimo nyote wawili na kuangalia tatizo lilipo kisha kuwapa tiba/ushauri wa kitaalamu.
  8. Emery Paper

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    Njia za malipo zipoje ? Hapa ndipo ninapokwama.
  9. Emery Paper

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    Natamani sana siku nije kujua namna ya kuagiza kitu ebay
  10. Emery Paper

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    It's quite interesting seeing how people enjoy their reading hobbies. Wish to have that book-reading enthusiasm in me.
  11. Emery Paper

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    One for the thread....
  12. Emery Paper

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Huu ulikuwa moja kati ya nyuzi pendwa enzi unaanza, saizi inapita hata mwaka sijakanyaga humu.
Back
Top Bottom