Ni kweli kuna sehemu wameminya baadho ya options.
Tupo kwenye maisha ya utafutaji kuna nyakati unajikuta baadhi ya fursa zinakupita kisa huna passport.
Habari zenu wakuu ?
Niko hapa najaza fomu ya kuomba Passport online. Nimefika hii hatua natakiwa nijaze dhumuni la safari na maelekezo yanasema ni lazima kujaza. Sina safari yoyote bali nahitaji tu kuwa na passport. Kwa wenye uzoefu natokaje hii hatua ?
Nashukuruni sana kwa msaada wenu.
Miezi sita bado ni mapema sana. Jipeni muda, fanyeni njia zilizo sahihi na mkiona mpaka miezi 8 bado hamuoni majibu ni vyema mkamuona Gynecologist ambapo atawafanyia vipimo nyote wawili na kuangalia tatizo lilipo kisha kuwapa tiba/ushauri wa kitaalamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.