Recent content by emanuel joseph

  1. emanuel joseph

    Msaada jinsi ya Ku Unlock Router Vodafone r207-z

    Habari wakuu, ninaomba msaada wa ku unlock hii vodafone router (vodafone R207-Z) ili niweze kutumia mitandao yote. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
  2. emanuel joseph

    First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

    Mi nmepata nafasi UDOM, ila mpaka sasa sijatumiwa admission letter
  3. emanuel joseph

    Naomba kupewa uzoefu wa maisha ya uanafunzi kati ya UDOM na IFM

    Habari wakuu, naomba kupewa ushauri na uzoefu wenu juu ya maisha ya uanafunzi kati ya UDOM na IFM katika suala zima za mazingira ya kuishi na gharama za maisha
  4. emanuel joseph

    Msaada tatizo la windows 7 kustuck kwenye logo

    Habari wadau, desktop yangu ilikua inapiga kazi fresh tu ina run windows 7 64 bit, sasa gafla wakat wa kuwasha naona inaishia kwenye logo. Nikajarb hii solution, nikatumia bootable flash ili nipate kufika kweny cmd, maana hata nikijarbu kuipeleka kwa safe mode still ilikua inafika sehem...
  5. emanuel joseph

    Nimeamua kuanza kujifunza computer programming (back end development)

    asante kwa inspiration, coz my point is to become software developer so nilikuwa nataka nianze na kitu ambacho hakitanikatisha tamaa then baada ya kuwa comfortable ndio nianze kupambana na lugha nyingine ambazo kwangu naziona ngumu kidgo like JAVA
  6. emanuel joseph

    Nimeamua kuanza kujifunza computer programming (back end development)

    asante kwa ushauri mzuri nitaufanyia kazi kikamilifu kwa uwezo wa mungu, kama unafahamu resorce nzuri za kujifunza na kupractice php naomba unisaidie pia,
  7. emanuel joseph

    Nimeamua kuanza kujifunza computer programming (back end development)

    yani nimefuatilia huu uzi na comments za watu, mpaka sijui nianze na kipi maana naona vyote vizur, baada ya kuwa na uelewa wa html, css, php na java, nikasema ngoja nianze kukomaa na language moja moja nikiimaster ndio nashift kwa nyingine, nikasema nianze na java huku nikiwa natumia android...
  8. emanuel joseph

    TANAPA hatimaye wameniita kwenye usaili

    poa ngoja niende nikapate na uzoefu maana hii ndio itakua interview yangu ya kwanza.
  9. emanuel joseph

    TANAPA hatimaye wameniita kwenye usaili

    yani umenikata maini maana nilikua na wazo moja tu la kwenda lakini baada ya kusoma hii post yako now nimepata mawazo mawili hapo ndio napiga hesabu aidha niende au nisiende:rolleyes::rolleyes:
  10. emanuel joseph

    Wenye ujuzi wa kuflash simu ambayo imekuwa locked kwa single line tu.

    Hapa kuna read info na read hyo read flash siioni
  11. emanuel joseph

    Wenye ujuzi wa kuflash simu ambayo imekuwa locked kwa single line tu.

    msaada jinsi ya kutengeneza rom kutoka kwenye simu yangu ili niweze kuitumia kuflash simu nyingine
Back
Top Bottom