Ngatu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 261
- 184
Habari ndugu ...niliuziwa simu ambayo imekuwa locked line moja tu. Yani haiwez ikafunction bila kuweka hiyo line na internent yenye kasi (3G) imekuwa locked kwenye hiyo line tu.Na sehem niliyopo huo mtandao hauna (3G). Kuna kazi nashindwa kuzifanya kwa sababu mtandao upo chini ..naomba nisaidien bandugu ....
Nikafanikiwa nitamshukuru...
Nikafanikiwa nitamshukuru...