Recent content by Emanuel Eckson

  1. Emanuel Eckson

    Balozi Tsere ataka Rais Samia kukaa na Wapinzani kama Kikwete ili kujadili Katiba Mpya

    #SIASA: Balozi mstaafu wa Tanzania nchini Malawi, Patrick Tsere amesema anamshauri Rais Samia Suluhu Hassan kukaa na wapinzani kirafiki na kujadili suala la Katiba Mpya ili kupata muafaka wa kitaifa kama alivyokuwa akifanya Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete. Akizungumza na...
  2. Emanuel Eckson

    Rais Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama - Arusha

    Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Justine Masejo amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani kitaifa yatakayofanyika mkoani humo kuanzia tarehe 23.11.2021 katika Uwanja wa Shekh Amri Abeid Karume. Kamanda Masejo...
  3. Emanuel Eckson

    RPC Arusha ahamasisha Raia kuendelea kusalimisha silaha

    #ARUSHA: Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Justine Masejo amewataka raia kuendelea kusalimisha Silaha zote wanazozimiliki kinyume cha sheria katika vituo vyote vya Polisi, Ofisi za Serikali za Mitaa, pamoja na Ofisi za watendaji wa Kata. Kamanda Masejo ameyasema hayo jana Novemba 12, 2021...
  4. Emanuel Eckson

    CDF yawaweka pamoja Makamishina na Makamanda wa Polisi nchini kujadili Ukatili wa Watoto

    MAKAMANDA wa Polisi nchini wameagizwa kupanga watu sahihi kwenye madawati ya jinsia na kuacha kupanga watendaji wagonjwa na wajawazito ili kupunguza kasi ya ongezeko la matukio ya udhalilishaji wa wanawake na watoto kwenye jamii. Aidha aliwataka baadhi ya watendaji wa madawati hayo kuacha...
  5. Emanuel Eckson

    Rais Joe Biden atangaza hali ya Hatari katika jimbo la California

    Rais Joe Biden ametangaza hali ya hatari katika jimbo la California na kuagiza serikali kuu ya nchi hiyo kuongeza nguvu katika juhudi za kunusuru jimbo hilo kufuatia athari za moto wa Caldor uliozuka mwezi Agosti 2021. White House imesema kuwa Agosti 30, 2021 Rais Biden alifanya kikao kwa njia...
  6. Emanuel Eckson

    Tunisia yatoa Hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Mgombea Urais wa nchi hiyo

    Serikali ya Tunisia imeidhinisha hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa mgombea urais wa nchi hiyo kwa mwaka 2019, Nabil Karoui pamoja na kaka yake ambaye ni Mbunge, Ghazi Karoui kwa kosa la kuvuka mpaka wa nchi hiyo kwa njia haramu (pasipo vibali) hali iliyopelekea kukamatwa kwao na kuwekwa kizuizini...
  7. Emanuel Eckson

    Jela Kifungo cha Maisha kwa Kumlawiti Mtoto wa Miaka 9

    Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemuhukumu Mkazi wa Chamanzi, Said Wanie (35) kifungo cha maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa. Pia mahakama hiyo imemuagiza mshtakiwa huyo kumlipa mtoto huyo fidia ya kiasi cha Sh500,000. Kati ya Mei 3, 2020 maeneo ya Chamanzi...
  8. Emanuel Eckson

    Tozo za Miamala: Serikali yapunguza viwango kwa 30%. Watoa huduma za simu waridhia kupunguza 10%

    Tafuta kitabu cha Mimi na Rais kutoka kwa Lello Mmasy, ameelezea sana kuhusu hili jambo.
  9. Emanuel Eckson

    Tozo za Miamala: Serikali yapunguza viwango kwa 30%. Watoa huduma za simu waridhia kupunguza 10%

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 31, 2021 ametia saini mabadiliko ya tozo za miamala ambapo serikali imepunguza 30% na makampuni ya simu Kupunguza 10% kutoka kwenye gharama za awali za ufanyaji wa miamala.
  10. Emanuel Eckson

    Zitto Kabwe, James Mbatia Wahudhuria kesi ya Uhujumu Uchumi yenye Mashtaka ya ugaidi ndani yake inayomkabili Mbowe

    Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ni miongoni mwa watu waliohudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe inayofanyika Leo Agosti 31, 2021 katika Mahakama kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi Jijini Dar es salaam. Mwenyekiti wa TCD, Zitto...
  11. Emanuel Eckson

    Maria van Kerkhove amesema kuwa wamegundua uwepo wa virusi vipya vya Corona aina ya C.1.2

    Mwakilishi wa WHO nchini Afrika kusini, Maria van Kerkhove amesema kuwa wamegundua uwepo wa virusi vipya vya Corona aina ya C.1.2 na kusema kuwa virusi hivyo vimeonesha tabia ya kuzaliana mara 2 kwa wakati mmoja. Imeelezwa kuwa virusi hivyo vimeripotiwa karibu kila mji nchini Afrika kusini...
Back
Top Bottom