Emanuel Eckson
Member
- May 24, 2017
- 11
- 14
Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Justine Masejo amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani kitaifa yatakayofanyika mkoani humo kuanzia tarehe 23.11.2021 katika Uwanja wa Shekh Amri Abeid Karume.
Kamanda Masejo ameyasema hayo jana Novemba 12, 2021 wakati akiongea na waandishi wa Habari katika kituo kikuu cha polisi Arusha.
Chanzo: Serengeti Post
Kamanda Masejo ameyasema hayo jana Novemba 12, 2021 wakati akiongea na waandishi wa Habari katika kituo kikuu cha polisi Arusha.
Chanzo: Serengeti Post