Recent content by emanoti415

  1. E

    TAMISEMI: Hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa

    Uhakika upo maana nimechoka kusubili ombi lipo tamisemi kitambo sana
  2. E

    TAMISEMI: Hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa

    Nipe connection faster nifanye makeke
  3. E

    Driving lences

    Imepote
  4. E

    Madalali TRA ni wafanyakazi wa TRA au vipi?

    Hellow nikiwa na cheti Cha driving basic naweza pata leseni ya madaraja A2,B ,D Kwa gharama kiasi gani ?
  5. E

    TANESCO Hamko serious hata kidogo

    Tanesco nipen msaada MITA yangu imetemper hii ni mara ya pili Sasa umeme unasoma kwenye kirimoti lakini hauwaki MITA namba inaanzia na 24
  6. E

    Pikipiki boxer x125

    Wanajamii forum naomba kuuliza maximum speed ya boxer x125. Na je ni sahihi kuwa na speed ya mwisho 75km/h au kuna vitu natakiwa nirekebishe , pikipiki ni zile za zaman za gia 4.
  7. E

    Gharama za kuskimu nyumba hii

    asante sana, wall puty unaweza kuskim na kuta za nje?
  8. E

    Gharama za kuskimu nyumba hii

    uko sahihi kabisa kaka
  9. E

    Gharama za kuskimu nyumba hii

    Hujalazimishwa kucomment bro , jf ni sehemu ya kujifunza na kubadilishana ideas zenye manufaa, kuliko kuingia kichwa kichwa ukajikuta unapata hasara za ajabu. Kama huna msaada kaa kimya hujalazimishwa kucomment bro.
  10. E

    Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    naomba kujua umetumia gypsum powder ngapi kuskim ndani, na nje white cementi ngapi , rangi whether guard ndoo ngapi na nyeupe ya ndani ndoo ngapi. Pia rangi ya maji ndoo ngapi kwa ajili ya kuskimmia na undercoat.
  11. E

    Gharama za kuskimu nyumba hii

    ndiyo ipo dodoma
Back
Top Bottom