Wanajamii forum naomba kuuliza maximum speed ya boxer x125. Na je ni sahihi kuwa na speed ya mwisho 75km/h au kuna vitu natakiwa nirekebishe , pikipiki ni zile za zaman za gia 4.
Hujalazimishwa kucomment bro , jf ni sehemu ya kujifunza na kubadilishana ideas zenye manufaa, kuliko kuingia kichwa kichwa ukajikuta unapata hasara za ajabu. Kama huna msaada kaa kimya hujalazimishwa kucomment bro.
naomba kujua umetumia gypsum powder ngapi kuskim ndani, na nje white cementi ngapi , rangi whether guard ndoo ngapi na nyeupe ya ndani ndoo ngapi. Pia rangi ya maji ndoo ngapi kwa ajili ya kuskimmia na undercoat.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.