Recent content by Emanoel

  1. E

    Ajira za Makumbusho ya Taifa na GPA

    Jaribu tu mkuu, usiogope kubahatisha.
  2. E

    Natafuta party time kufundisha Kemia

    Kwa uandishi huo wa Tangazo lako sidhani kama unaitendea haki shahada yako.
  3. E

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mtukufu ni Mwenyezi Mungu peke yake
  4. E

    Kada ya Afya: Wenye uhitaji wa Kubadilishana Vituo vya Kazi

    Ngoja tumtafunie, maana mmemwambia kwa mifano haelewi... hatuna mkoa wa Bukoba Mjini, tuna mkoa wa Kagera. Bukoba ni Wilaya ndani ya mkoa wa kagera. Dr rudi darasani
  5. E

    Serikali imetosheka na walimu wa arts hawaitajiki tena

    Poleni sana walimu mnaosubiri ajira, hata mwaka jana yalisemwa mengi sana lakini mwisho wa siku tuliajiriwa.. Chamsingi ukipata ajira popote wewe nenda.Ukweli ajira ni ngumu sana. I feel your pain
  6. E

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Poleni sana kwa kuuliza maswali bila kujibiwa, haya ndio maisha yetu hata tukienda kwenye hii bank ya NMB. Unaweza ukahitaji ufafanuzi ila wahudumu wakawa wakali/ wakakutizama tu. Twendelee kuuliza maswali, yazidi kukaa foleni kama vile tunavyopanga mistari katika Bank yetu ya NMB. Mwaka huu...
  7. E

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Baya usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio
  8. E

    Mwalimu wa kubadilishana idara ya elimu sekondari

    Njoo Kisarawe-Pwani, mimi nije Ilala, Kinondoni au Kibaha. Idala Sekondari
  9. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kisarawe - Pwani nije Kibaha Mjini -Pwani idara ya sekondari
  10. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kisarawe - Pwani nije Kibaha mjini - Pwani idara sekondari
Back
Top Bottom