Ngoja tumtafunie, maana mmemwambia kwa mifano haelewi... hatuna mkoa wa Bukoba Mjini, tuna mkoa wa Kagera. Bukoba ni Wilaya ndani ya mkoa wa kagera. Dr rudi darasani
Poleni sana walimu mnaosubiri ajira, hata mwaka jana yalisemwa mengi sana lakini mwisho wa siku tuliajiriwa.. Chamsingi ukipata ajira popote wewe nenda.Ukweli ajira ni ngumu sana. I feel your pain
Poleni sana kwa kuuliza maswali bila kujibiwa, haya ndio maisha yetu hata tukienda kwenye hii bank ya NMB. Unaweza ukahitaji ufafanuzi ila wahudumu wakawa wakali/ wakakutizama tu.
Twendelee kuuliza maswali, yazidi kukaa foleni kama vile tunavyopanga mistari katika Bank yetu ya NMB. Mwaka huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.