ephramanaseophra
Member
- Apr 20, 2014
- 7
- 0
Unachotakiwa kufanya in kusain mkataba name kama utapata ajira ya kudumu utasitisha mkataba kisheria.
Tanzania Daima ni gazeti la upinzani yaani la Mbowe so imewekwa kama Swali coz ukimya wa serikali mpka sasa
Pengine kuchokonoa watatoa jibu
Ni swali wanauliza
Nitakusema kwa songoy unanitukana