KILA mzazi anapenda kuona maendeleo ya mwanae yanafanikiwa kwenye maisha. Lakini Jitihada za mzazi/Mlezi zinafikia kikomo pale mtoto anapoonesha ukaidi wa kutosikia maoni, ushauri, na hata mafundisho ya Mzazi/mlezi na kujikuta akiangukia mikononi mwa wananchi wabaya na kukumbwa na madhila...
BUNGE Maalum la Katiba limeahirishwa Aprili 25, kupisha Bunge la Bajeti ambalo linataraji kuanza mwezi wa tano mwaka huu.
Bunge hilo Maalum la Katiba limeahirishwa huku kukiwa bado hakuna mwelekeo wa kupatikana kwa katiba ambayo kwa mujibu wa ratiba, Katiba ya Watanzania ingetakiwa...
MCHANGO wa sekta binafsi kwenye maendeleo ya umma utafanikiwa endapo Serikali itatambua umuhimu wa kuzishirikisha sekta binafsi kwenye mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN).
Ni dhahiri kwamba, malengo ya (BRN) yanayolenga kuleta Maendeleo ya haraka nchini kwenye sekta mbalimbali kama Elimu...
WAKATI Tanganyika inapata uhuru mwaka 1961 Mwalimu Nyerere alitangaza vita dhidi ya maadui watatu yaani Ujinga, Maradhi, na Umaskini. Hawa ni maadui ambao kwa wakati ule Mwalimu Nyerere aliwaita ni maadui wa Maendeleo.
Mapambano dhidi ya maadui hawa maradhi, ujinga, umaskini yalipita katika...
TUHUMA dhidi ya rushwa limeendelea kuliandama Bunge Maalum la Katiba, ambapo baadhi ya Wajumbe wa Chama cha Chadema wamekituhumu chama cha Mapinduzi kwamba kinatoa hongo kwa Wajumbe wa kundi la 201 ili waungane na Chama hicho ili kupinga hoja za Chadema.
Tuhuma hizi zimetolewa jana Machi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.