Habari zenu nyote,
Nashukuru kwa wote ambao mlinishauri kwamba nikasome kozi ya Auto electricity. Na hakika ushauri wenu nitaufanyia kazi.
Ila kwasasa ninaomba kwa yoyote anayefahamu chuo chochote kizuri kilichopo Dar es Salaam ambacho wanafundisha vizuri course ya auto electricity na kwa...
Habari za asubuhi wakuu.
Naomba kuuliza, ni chuo gani cha ufundi kinachosifika kwa kufundisha vizuri kozi za ufundi magari (hasa auto electricity).
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote.
Asante.
Mungu akusamehe kwakuwa haujuwi nilipi ulisemalo. Kama unaona ushauri huo unaonipa mimi ni mzuri na wamaana, jaribu basi kushauri waliopo katika familia yako...
Mimi ni kijana wa miaka 19, nipo Kigoma, nilimaliza kidato cha nne mwaka jana. Na nilipata div 4 ya point 33. Nilienda Veta nikasoma udereva na nina cheti pamoja na leseni daraja D, na tayari nimeshakuwa dereva mzuri tu, kwakuwa nilianza kuendesha gari kabla hata ya kwenda Veta kusomea. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.