Recent content by Elongolongo

  1. E

    Asanteni kwenu nyote

    Habari zenu nyote, Nashukuru kwa wote ambao mlinishauri kwamba nikasome kozi ya Auto electricity. Na hakika ushauri wenu nitaufanyia kazi. Ila kwasasa ninaomba kwa yoyote anayefahamu chuo chochote kizuri kilichopo Dar es Salaam ambacho wanafundisha vizuri course ya auto electricity na kwa...
  2. E

    Chuo gani kinasifika kufundisha vizuri kozi za ufundi magari?

    Habari za asubuhi wakuu. Naomba kuuliza, ni chuo gani cha ufundi kinachosifika kwa kufundisha vizuri kozi za ufundi magari (hasa auto electricity). Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote. Asante.
  3. E

    Naomba mawazo yenu kozi ya kusomea ufundi magari

    Shukrani sana big bro [emoji123][emoji123][emoji123]
  4. E

    Naomba mawazo yenu kozi ya kusomea ufundi magari

    Mungu akusamehe kwakuwa haujuwi nilipi ulisemalo. Kama unaona ushauri huo unaonipa mimi ni mzuri na wamaana, jaribu basi kushauri waliopo katika familia yako...
  5. E

    Naomba mawazo yenu kozi ya kusomea ufundi magari

    Asante sana!! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  6. E

    Naomba mawazo yenu kozi ya kusomea ufundi magari

    Kuwa nani kiaje mkuu.. sijakuelewa samahani.
  7. E

    Gari yangu inakimbia sana!

    Njoo nikukutanishe na Toyota Altezza... Alafu ndio utajua kama kweli wewe bado sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. E

    Naomba mawazo yenu kozi ya kusomea ufundi magari

    Mimi ni kijana wa miaka 19, nipo Kigoma, nilimaliza kidato cha nne mwaka jana. Na nilipata div 4 ya point 33. Nilienda Veta nikasoma udereva na nina cheti pamoja na leseni daraja D, na tayari nimeshakuwa dereva mzuri tu, kwakuwa nilianza kuendesha gari kabla hata ya kwenda Veta kusomea. Lakini...
  9. E

    Ushauri wako ni muhimu kwangu tafadhali

    Asante kwa ushauri [emoji119][emoji119][emoji119]
Back
Top Bottom