Recent content by ELNIN0

  1. ELNIN0

    Simbachawene ni presidential material, atunzwe na alindwe kwa wivu mkubwa

    Watanzania mwaka wa 20 sasa tunajiongoza wenyewe.
  2. ELNIN0

    Mchengerwa: Hali ya Jenista Mhagama ilikuwa mbaya, madaktari walifanya kazi kubwa

    CCM mmeanza kubementana wenyewe kwa wenyewe eee baada ya kuwamaliza wapinzani. -- kumbukeni wosia wa mwalimu.
  3. ELNIN0

    Serikali acheni kumshawishi sana Lissu, ashawaambia hataki Maridhiano na Samia

    Kama hujui Lissu ni nani na ni nini umuhimu wake kwa sasa hasa baada ya maushenzi yote haya yaliyotokea tarehe 29th basi wewe ni Zuzu, ni hivi Serikali inamuhitaji Lissu sasa zaidi kuliko yeye anavyoihitaji.
  4. ELNIN0

    Sasa kwanini walifanya siri kumshikilia Geofrey Mwambe?

    CCM mtandao ni chaka lenye giza kali - washaanza kukulana wao kwa wao. Yaani wewe waziri uliyetumbuliwa ishi kwa akili - ukizubaa wanaondoka na bichwa lako dadeq. Sasa hivi si kukaa tena bali ni kuchuchumaa maana safari ya shimo la tewa ni muda wowote.
  5. ELNIN0

    GE2025 Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo

    Sasa hivi watatia adabu, tuliwaambiaga mapema CCM ni genge la wahuni wakatugomea miaka nenda rudi - sasa watatuamini. Bado Mwabe si na yeyeni wa huko huko ama nimikosea wadau. Emanuela yupo lock down ya kishua - kazi iendelee
  6. ELNIN0

    PostGE2025 Rais Samia akipokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi, Ikulu Chamwino - Disemba 12, 2025

    Huyu maza ana maisha magumu sana, afadhali anayebaba magunia kariakoo ana ahueni ana amani katika nafsi - Damu zinaongea na huyu maza usiku na mchana. Damu changa hazitamuacha salama
  7. ELNIN0

    PostGE2025 Kumbe alifeli form 4, Kiswahili tu ndio alipata D

    Kwangu mie naheshiku daktari aliyepata Div One walau point 12 kwenda juu form four na Div One walau point 8 - A level.. huyu ana akili za kuzaliwa. Hawa wengine ni waunga vyeti tu kama mimi - IQ hamna bichwa zito.
  8. ELNIN0

    Wakristo, na hasa Wakatoliki kaeni chonjo. Anawamaliza wote!

    Samia ni kirusi ndani ya nchi, CCM mtandano ni mafia - watanyofoa mmoko mkoko hadi wabakie wao ili watafune nchi watakavyo. Wa kuleta nywinywinywi anakutana na shimo la tewa - dadeq
  9. ELNIN0

    CCM imeparaganyika, hofu imetanda ndani yao

    Ni mwendo wa kuparurana machoni, damu za watanzania zipo juu yao wote.
  10. ELNIN0

    Huku ni Kuchanganyikiwa Kwa Wanaharakati

    Gen-Z kitendo cha kutufungia ndani masaa 24 bila kupenda nyie watoto!! Huku Police, JWTZ na usalama wa Taifa letu wakihaha mitaani jua lote la kwao... kweli mna kiti chenu Mbinguni. Kwa kweli bora mngeandamana kuliko kututesea vyombo vyetu vya ulinzi namna hii juani kutwa nzima. Yale yalikuwa...
  11. ELNIN0

    Jaji Mkuu Masaju: Nani anasema Mahakama Tanzania haiko huru?

    Kumbe kuna wasukuma wajinga, hivi huyu jamaa yupo sawa kichwani kweli - Majaji hatuna kabisa, Jaji Nyalali fufuka ushuhudie uozo namna mahakama kuu yako ilivyogeuzwa chaka la CCM mtandao kupitishia mambo yao ya kukandamiza wananchi.
  12. ELNIN0

    PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Mlizika watu wanahema, yaani mshayakanyaga tena ya moto moto. Mlizima Internet ili mfanye yenu mkidhani wazungu kujua information za Dunia hii wanatumia hivi vi fibre vyenu ya Voda na Tigo - ha ha ha ha Pambaneni....
  13. ELNIN0

    Ukweli ni kwamba Serikali ina hofu na D9 Kuliko raia

    "Who are you" ...inatamba Duniani.
Back
Top Bottom