Kama hujui Lissu ni nani na ni nini umuhimu wake kwa sasa hasa baada ya maushenzi yote haya yaliyotokea tarehe 29th basi wewe ni Zuzu, ni hivi Serikali inamuhitaji Lissu sasa zaidi kuliko yeye anavyoihitaji.
CCM mtandao ni chaka lenye giza kali - washaanza kukulana wao kwa wao.
Yaani wewe waziri uliyetumbuliwa ishi kwa akili - ukizubaa wanaondoka na bichwa lako dadeq.
Sasa hivi si kukaa tena bali ni kuchuchumaa maana safari ya shimo la tewa ni muda wowote.
Sasa hivi watatia adabu, tuliwaambiaga mapema CCM ni genge la wahuni wakatugomea miaka nenda rudi - sasa watatuamini. Bado Mwabe si na yeyeni wa huko huko ama nimikosea wadau.
Emanuela yupo lock down ya kishua - kazi iendelee
Huyu maza ana maisha magumu sana, afadhali anayebaba magunia kariakoo ana ahueni ana amani katika nafsi - Damu zinaongea na huyu maza usiku na mchana. Damu changa hazitamuacha salama
Kwangu mie naheshiku daktari aliyepata Div One walau point 12 kwenda juu form four na Div One walau point 8 - A level.. huyu ana akili za kuzaliwa.
Hawa wengine ni waunga vyeti tu kama mimi - IQ hamna bichwa zito.
Samia ni kirusi ndani ya nchi, CCM mtandano ni mafia - watanyofoa mmoko mkoko hadi wabakie wao ili watafune nchi watakavyo.
Wa kuleta nywinywinywi anakutana na shimo la tewa - dadeq
Gen-Z kitendo cha kutufungia ndani masaa 24 bila kupenda nyie watoto!! Huku Police, JWTZ na usalama wa Taifa letu wakihaha mitaani jua lote la kwao... kweli mna kiti chenu Mbinguni.
Kwa kweli bora mngeandamana kuliko kututesea vyombo vyetu vya ulinzi namna hii juani kutwa nzima.
Yale yalikuwa...
Kumbe kuna wasukuma wajinga, hivi huyu jamaa yupo sawa kichwani kweli - Majaji hatuna kabisa, Jaji Nyalali fufuka ushuhudie uozo namna mahakama kuu yako ilivyogeuzwa chaka la CCM mtandao kupitishia mambo yao ya kukandamiza wananchi.
Mlizika watu wanahema, yaani mshayakanyaga tena ya moto moto. Mlizima Internet ili mfanye yenu mkidhani wazungu kujua information za Dunia hii wanatumia hivi vi fibre vyenu ya Voda na Tigo - ha ha ha ha
Pambaneni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.