Recent content by elmuhaja

  1. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

    Utajua mwenyewe na ulilonalo rohoni mwe
  2. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

    Hizo sheria ni za wana Israil, hazitafanya kazi sasa
  3. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

    Na hii pia ni tofauti. Biblia inatabiri lkn Kuran kila kinachosemwa ni kweli
  4. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

    Kama unaongelea waliosomea degree ya lugha ya kiengereza sawa. Lkn kuna watu wanachukua degree hazihusiani kabisa na iyo lugha. Kwa mfano kama ukichukua degree ya lugha ya kiarabu itakuwaje
  5. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Afungwa jela kwa kosa la kumlawiti mkewe kama adhabu anapokosea

    Sio zanzibar hii, lkn basi
  6. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Afungwa miaka 70 jela kwa kubaka, kulawiti na kutorosha msichana

    zanzibar, ukimchukua dem na ku DO nae, mzenj lkn sijui wa kutoka bara, kama hajafika miaka 18, basi utapewa kesi ya kutorosha na kumuingilia kinyume na maumbile hata kama hukumuingilia kinyume. Ndio maana mnasikia sana kuhusu kuingiliwa kinyume na maumbile, lakini kiuhalisia sio kweli.
  7. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Miji 20 Mizuri na Inayovutia Zaidi Barani Afrika

    ttzo ww si mtalii
  8. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya Mzee Ally Hassan Mwinyi kufanyika Unguja: Je, wosia wake umezingatiwa?

    Umesikia wapi ww usiejua kitu
  9. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya Mzee Ally Hassan Mwinyi kufanyika Unguja: Je, wosia wake umezingatiwa?

    Atashinda! au atapewa tu! Andika vizuri wewe
  10. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    Una haraka ya nini? Karibuni tu utakufa utaju mwenyewe
  11. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

    Tatizo mnalazimisha Ukiristo iwe ni Dini, wakati ata Yesu mwwnyewe haijui hiyo dini
  12. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

    ili iweje
  13. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

    Kuna vingi hujaviona lkn vipo, acha upumbavu
  14. elmuhaja

    JamiiForums Tanzania Kuna Dalili zozote kuonyesha kuwa Uamsho ni Terrorist Organization?

    Ungevunjika muungano kila mtu akawa kwake, hayo mambo yasingekuwepo. Sehemu zote unazosikia kuna vikundi vya kuitwa Vya kigaidi basi kuna Uingiliwaji mkubwa wa nguvu katika Serikali zao na nchi zao kwa ujumla, hasa kutoka nje, au propaganda zilizopandikizwa ndani ya nchi.
Back
Top Bottom