Recent content by Elly29

  1. E

    Pedi za kufua

    Habari wamama na wadada, Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet. Na packet moja ni Tsh 10,000/= Zinapatikana Dar na Arusha, kwengine kote tunatuma kwa Bus kwa...
  2. E

    Pedi za kufua

    Samahani Mimi sio mwanaume..hivyo naelewa kabisa ninachokifanya
  3. E

    Pedi za kufua

    Pole
  4. E

    Pedi za kufua

    Ina vifungo kama vinavoonekana..so ukishaifunga hai move.
  5. E

    Pedi za kufua

    Kila packet ina mfuko unaobana kabisa wa kuhifadhia .
  6. E

    Pedi za kufua

    Ndio
  7. E

    Pedi za kufua

    Santee sana Dada
  8. E

    Pedi za kufua

    Nashukuru kwa kulitambua hilo..hizi zinatuepusha na matatizo mengi sana kiafya maana ni natural kabisa ..hakina kemikali yoyote iliyotumika katika kuzitengeneza
  9. E

    Pedi za kufua

    Kiafya ni salama sana
  10. E

    Pedi za kufua

    Karibu tuwasiliane kwa namba 0765554391.
  11. E

    Pedi za kufua

    Santee sana nitalifanyia kazi
  12. E

    Pedi za kufua

    Naomba nikukosoe, hizi sio za Kichina, ni made in Uganda na ndo maana zikaitwa AFRIPADS zingekuwa za wachina zingekuwa na jina la KICHINA.Na sio za majaribio. Kiwanda kipo Uganda wanashona na kufanya packaging wenyewe.
  13. E

    Pedi za kufua

    Mimi ni mdada ninazitumia tangu mwaka jana hivyo ninaelewa ninachokisemA.
  14. E

    Pedi za kufua

    Ni very suitable since zipo meant kwa wennye heavy flow.
  15. E

    Pedi za kufua

    Hazihitaji maji mengi hata. Maji kiasi cha kawaida tu. Na zinatakata vizuri sana, maana ni nyepesi.
Back
Top Bottom