Recent content by ELLY2000

  1. E

    'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

    Clouds walitangaza Jana mwishon mwa kipindi chao cha michezo, cha ajabu hawakuelezea zaidi, ngapi ngapi, wafungaji nani, Zaid ya kusema Simba huwa hafui dafu, inaonyesha hawakuwa na uhakika
  2. E

    Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

    Jooohs kuna msamaha umetoka Kwa wafungwa Kwa ajili ya sherehe ya muungano vipi Augustine nae yumo?
  3. E

    Mazembe Out de la ligué Champions

    Hakuna kinachoshindikana mradi Nia na mipango thabiti
  4. E

    Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

    Mbona hapo ukiangalia Yanga nae kabebwa, tukosoe Kwa waamuzi wanakosea sio kwa, wanapendelea timu moja post 219
  5. E

    Hello

    Habari
  6. E

    Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

    Haya Mambo yanatokea kote tuu, tatizo sio kuhongwa shida waamuzi hawako makini hata Kwa Yanga yanatokea Sana ila watu wa Simba yakitokea Kwa Yanga wanapotezea tuu
  7. E

    Azam TV App vipi..?

    Naona bado kuna shida, kila mechi caf champion league zikianza ZBC2 wanaitoa, wakati nimeshalipia
Back
Top Bottom