Clouds walitangaza Jana mwishon mwa kipindi chao cha michezo, cha ajabu hawakuelezea zaidi, ngapi ngapi, wafungaji nani, Zaid ya kusema Simba huwa hafui dafu, inaonyesha hawakuwa na uhakika
Haya Mambo yanatokea kote tuu, tatizo sio kuhongwa shida waamuzi hawako makini hata Kwa Yanga yanatokea Sana ila watu wa Simba yakitokea Kwa Yanga wanapotezea tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.