Wakuu nimekuwa nikifanya utafiti wa kwenye masomo husika naona hakuna wataalam juu sababu ni kwamba walio juu hawataki wenzao kufika huko hasa ndugu zetu wa Mlimani.
Ushauri wangu soma vyuo hivi:
1.MA in Linguistics SAUT Mwanza (Evening/Weekend mode)- Ukiwa lake zone.
Ada M 5,56660 Total...
Mkuu majibu yote hapo ni uongo hiyo topic iko std 3 Syllabus mpya . Majibu yote hapo ni HAVE. Ukiwa na maswali zaidi English na Kiswahili kwa darsa la Tatu EMS.Karibu DM utasidiwa.
anzia hapo hapo adult IAE.Nenda kwenye shule physically humu huwezi kupata kazi bro.Nenda shule Kwa shule pia usijifunge kuomba secondary tu nenda shule za English medium katafute kazi huko maana shule nyingi za sekondari private wanajitafuta costs za uendeshaj ni kubwa wanafunzi wachache...
Pole sana dada nimewahi kutana na Hali kama hiyo. Kuwa makini sana hiyo ni Spirit ukiendekeza hata ukipata mwingine itakuwa hivyo hivyo utashangaa kila ukipata Hali inaendelea hivyo ,Changamka 35+ ni hatari.Kwa ushauri zaidi DM nimeoa na nimexperience hiyo kitu
Mimi ni Mwalimu mwenzio tena Arts nimemaliza miaka michache ilopita.
Ushauri wangu ,maliza shule Kwanza Mimi nimepitia huko pia huwezi kupambania Elimu zaidi miaka 15 kisha uishie njiani eti ukaanze kulima Mafanikio hayako hivyo fanya jambo kwanza likamilishe unaweza usione matunda yake Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.