Tupo hapa nje ya uwanja tunashindwa kuingia watu wamejaa sana jamani sijui kama nitamuona huyu Magufuli.
Anapendwa sana na wananchi wa hapa Urambo.
Mitano ya Ushindi heko kwa CCM
Habari njema kwa wanaCCM hii Hakika aliyejitoa anahitaji pongezi maana ametupatia kitu kwa wepesi sana
Sasa pesa za Kampeni tuelekeze katika utatuzi wa kero za wananchi.
Huyu ndio Dkt Magufuli mgombea wa Chama cha Mapinduzi na kipenzi cha Watanzania wa rika zote.
2020 ni zamu yake tena bado Watanzania tuna IMANI kubwa na yeye.
Tijitokeze kwa wingi kupiga kura kwa CCM na Dkt Magufuli amefanya mengi makubwa.
Mtumishi gani amepauka ?wakati mishahara wanaingiziwa on time kuanzia tarehe 20s mambo yanakuwa mazuri
Safari hii mambo mazuri na tutamchagua tena Dkt Magufuli ili kuongeza mishahara project kuwa zikiishia
HAWA WATU SIKU WAKIPEWA HATA KANDA TU WATUUZA UWIII KATAA HIKI CHAMA KUSHIKA NCHI NI HATARI KWA RASILIMALI ZA NCHI YETU.
OKTOBA 28 SIKU YA KUPIGA KURA
CHAGUA CCM
CHAGUA MAENDELEO YA KWELI YENYE KUHESHIMU RASILIMALI ZA NCHI YETU
Huyu Mwl wa Zanzibar anapata vipi watu huku bara yaani hana mvuto wa kisiasa kabisa sijuagi hata huwa anaongea vitu gani jamani.....
Ndio maana huyu kwengine sijisumbui nabaki na Chama cha Mapinduzi acha Nisubiri tarehee nikamchague Dk Magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.