Namimi namuunga mkono Rais Magufuli kwakusema baadhi ya watumishi wake ni wapumbavu kwasababa walio wengi wamekua mstari wa mbele kukumbati hizo lakini sababu kuu ni ubinafisi mtu anataka kushiba yeye na familia yake wengine waangamie paspo kujali madhara yatakayo fata katika utendaji kazi...
Nikweli mchangia mada wa kwanza wadada tunatisha unakuta dada hujaolewa unajiita kungwi wakufundisha na kumuanda bidada ambaye anataka kuolewa tendo la ndoa na mitindo yote wewe hujaowa umeyapataje? Nabusara za ndani ya ndio wanazijua walioingia wakayaona na hasa tuna wanaaminiwa watu wazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.