Habari jamani, nduguzangu poleni na majukukumu, naomba msaada wenu kuku wangu wana shida moja, kwenye kutotoa ukute kuku ana mayai 12 lakini anatotoa machache Sana naombeni msaada wenu juu ya hili.
Ee Mwenyezi Mungu ilaze roho yake mahala penalty peponi Amina... Na uwape faraja wafiwa wote na mwanajamvi mwenzetu katika kipindi hiki kigumu cha majority.. Amina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.